tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 498
kufuatia kauli aliotoa mwimbaji wa bongo fleva nasibu abdul a.k.a diamond kumeibua hisia tofauti na chuki kwa wapenzi wa muziki wake ,kauli ya mwimbaji uyo kusema kuwa katika mkoa wa mbeya amna hotel atakayo weza kulala yenye hadhi yake ,kumemretea sifa mbaya hasa kwa wapenzi wake wa mkoa uwo, pia kumeutoa thamani mkoa uwo upande wa mahoteli pia kumeleta maswali je mawaziri wetu wabunge na manaibu mawaziri wafanyapo ziara za kikazi mbeya kumbe wanalala kwenye vi hotel vya ovyo ovyo ,inasikitisha,pia inawezekana diamond anayo hadhi kubwa kupita bahadhi ya viongozi wa serikali yetu?