Hii kauli ya vijana wa CCM waache kujigeuza usalama wa taifa badala yake wawe usalama wa chama imekaaje wadau?

Hii kauli ya vijana wa CCM waache kujigeuza usalama wa taifa badala yake wawe usalama wa chama imekaaje wadau?

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Kuna kauli ya Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa sjui ni kata au wilaya ya Kinondoni hapa mtandao akiwa SII vijana wa umoja wa vijana ccm waache kujifanya usalama wa taifa Badala yake anawataka wajifanye usalama wa taifa wa Chama Cha Mapinduzi.

Je wadau mmeiskia na kuelewa?

Nakumbuka henzi hizo Olle Sabaya aliwai mpaka kushitakiwa kwa kosa la kujifanya usalama wa taifa na sjui Ile kesi aliishinda au ndo Mwendazake aliifuta Ili amteue kuwa mkuu wa wilaya sikumbuki


Nakumbuka hata Mh Makonda nae ziliwai penya tetesi hizi,

Sio Hawa vijana TU hata huyu Emanuele Nchimbi, Masauni na hata yule mkuu wa mkoa wa Geita kwa Sasa Kwa maana ya Shigela wote enzi hizo wakiwa huko kwenye umoja wa vijana tuliambiwa ni usalama wa taifa

Je ni kweli umoja wa vijana wa ccm ndo chimbo LINARO SABABISHA kupatikana kwa vijana wetu kwenda kuwa usalama wa taifa?

Madhala ni mengi kama ni kweli kuliko faida .
 
Kuna kauli ya Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa sjui ni kata au wilaya ya kinodnoni hapa mtandao akiwa SII vijana wa umoja wa vijana ccm waache kujifanya usalama wa taifa Badala yake anawataka wajifanye usalama wa taifa wa chama Cha mapinduzi.

Je wadau mmeiskia na kuelewa?


Nakumbuka henzi hizo Olle Sabaya aliwai mpaka kushitakiwa kwa kosa la kujifanya usalama wa taifa na sjui Ile kesi aliishinda au ndo Mwendazake aliifuta Ili amteue kuwa mkuu wa wilaya sikumbuki




Nakumbuka hata Mh Makonda nae ziliwai penya tetesi hizi,

Sio Hawa vijana TU hata huyu Emanuele nchimbi, Masauni na hata yule mkuu wa mkoa wa geita kwa Sasa Kwa maana ya shigela wote enzi hizo wakiwa huko kwenye umoja wa vijana tuliambiwa ni usalama wa taifa

Je ni kweli umoja wa vijana wa ccm ndo chimbo LINARO SABABISHA kupatikana kwa vijana wetu kwenda kuwa usalama wa taifa?

Madhala ni mengi kama ni kweli kuliko faida .
Wapelekwe mstari wa mbele Goma huko wapuuzi hawaaa......kazi kiouuzi kuteka wakosoaji sasa M23 wako front waende wakampambanie Kizmkz wao wapuuziiii sanaa
 
Kuna kauli ya Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa sjui ni kata au wilaya ya kinodnoni hapa mtandao akiwa SII vijana wa umoja wa vijana ccm waache kujifanya usalama wa taifa Badala yake anawataka wajifanye usalama wa taifa wa chama Cha mapinduzi.

Je wadau mmeiskia na kuelewa?


Nakumbuka henzi hizo Olle Sabaya aliwai mpaka kushitakiwa kwa kosa la kujifanya usalama wa taifa na sjui Ile kesi aliishinda au ndo Mwendazake aliifuta Ili amteue kuwa mkuu wa wilaya sikumbuki




Nakumbuka hata Mh Makonda nae ziliwai penya tetesi hizi,

Sio Hawa vijana TU hata huyu Emanuele nchimbi, Masauni na hata yule mkuu wa mkoa wa geita kwa Sasa Kwa maana ya shigela wote enzi hizo wakiwa huko kwenye umoja wa vijana tuliambiwa ni usalama wa taifa

Je ni kweli umoja wa vijana wa ccm ndo chimbo LINARO SABABISHA kupatikana kwa vijana wetu kwenda kuwa usalama wa taifa?

Madhala ni mengi kama ni kweli kuliko faida .
Imesemwa mara nyingi sana humu kwamba uvccm ndo feeders wa idara ya usalama, ndo maana huipigania ccm badala ya taifa
 
Eagle 3 🦅 😃
1000021608.jpg
 
Acha pk ajitanuetanuee aje mpk huku kwengine itoke amshaamsha tumelala sana

Ova
Tiss wamejisahaùu wanapiga hela kwa kudanfanya mama na taatifa uongo za wapinzani....sasa tuna afui nje mlango....ana jeuri hamuogopi hata SA...sembuse Tz ! Anatujua kila kutu kupitia mapandikizi yake nchini miaka 30 hii anajya kila kituuu....tuko uchi nakuambiaa......ubaya alie juu ni muoga hata akiwa nchi 16 bado wamemuogopa PK na sadc yao khaaa.....tuna no 1 imara kweli ? Nina wasi sana....eti Mzee Gomve ndip mshauriii khaaaas ukingas hatuna mtu seriousndani nchiii hiii
 
Imesemwa mara nyingi sana humu kwamba uvccm ndo feeders wa idara ya usalama, ndo maana huipigania ccm badala ya taifa
Nikiwa mmoja wapo nilie onya kwa muda mrefu, baadae tunaitwa chadema, wapinzanji na majina mengine

Ndio idara yetu nyeti kabisa iliyojozolea sifa 70s,80s,90 na ealry 2000s, leo imechange kabisa, ndio uwezo wao unakuwa dimished taratibu
 
Kuna kauli ya Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa sjui ni kata au wilaya ya kinodnoni hapa mtandao akiwa SII vijana wa umoja wa vijana ccm waache kujifanya usalama wa taifa Badala yake anawataka wajifanye usalama wa taifa wa chama Cha mapinduzi.

Je wadau mmeiskia na kuelewa?


Nakumbuka henzi hizo Olle Sabaya aliwai mpaka kushitakiwa kwa kosa la kujifanya usalama wa taifa na sjui Ile kesi aliishinda au ndo Mwendazake aliifuta Ili amteue kuwa mkuu wa wilaya sikumbuki




Nakumbuka hata Mh Makonda nae ziliwai penya tetesi hizi,

Sio Hawa vijana TU hata huyu Emanuele nchimbi, Masauni na hata yule mkuu wa mkoa wa geita kwa Sasa Kwa maana ya shigela wote enzi hizo wakiwa huko kwenye umoja wa vijana tuliambiwa ni usalama wa taifa

Je ni kweli umoja wa vijana wa ccm ndo chimbo LINARO SABABISHA kupatikana kwa vijana wetu kwenda kuwa usalama wa taifa?

Madhala ni mengi kama ni kweli kuliko faida .
Wamchukue na Stev Nyerere huko usalamani bandia
 
Back
Top Bottom