exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
Mnisaidie nitafungwa
Nlikamatwa hapa kwetu kulitokea taharuki vurugu watu wakafanya vurugu kituo cha polisi kuvunja kwa mawe na kuchoma gari la raia aliekua amepaki maeneo ya kituo, Baada ya kuja wale wakutuliza vurugu zile mimi walinikuta nikiwa nafunga duka wakanichukua na kupelekea duka kuliacha wazi
Tulikamatwa watu 100+ tukapelekwa mahakamani tulisomewa mashitaka kwapamoja hatukupata nafasi yakueleza jinsi tulivyokamatwa, tulikana kwa pamoja tukapelekwa mahabusu badae tukapata mdhamana tukatoka tuhudhuria kuskiliza kesi yetu,
sasa mimi wasiwasi wangu leo hii ni awam ya pili mahakamani tukifika ni kuhesabiwa tu na kuambiwa tutarudi tarehe nyingine hatupati nafasi ya kujieleza mmoja mmoja jinsi alivyokamatwa, mfano mimi nilikutwa eneo langu la kazi nikijiandaa kufunga kufuri za duka niende nyumbani.
Nlikamatwa hapa kwetu kulitokea taharuki vurugu watu wakafanya vurugu kituo cha polisi kuvunja kwa mawe na kuchoma gari la raia aliekua amepaki maeneo ya kituo, Baada ya kuja wale wakutuliza vurugu zile mimi walinikuta nikiwa nafunga duka wakanichukua na kupelekea duka kuliacha wazi
Tulikamatwa watu 100+ tukapelekwa mahakamani tulisomewa mashitaka kwapamoja hatukupata nafasi yakueleza jinsi tulivyokamatwa, tulikana kwa pamoja tukapelekwa mahabusu badae tukapata mdhamana tukatoka tuhudhuria kuskiliza kesi yetu,
sasa mimi wasiwasi wangu leo hii ni awam ya pili mahakamani tukifika ni kuhesabiwa tu na kuambiwa tutarudi tarehe nyingine hatupati nafasi ya kujieleza mmoja mmoja jinsi alivyokamatwa, mfano mimi nilikutwa eneo langu la kazi nikijiandaa kufunga kufuri za duka niende nyumbani.