Ngwaru Ndiavilema
Member
- Sep 26, 2016
- 68
- 51
Basi Jana wakati natoka job mbezi beach kufika afrikana si nikakutana na rais Obama. Etii ameniomba lift ikabidi nimpe tukafika mwananyamala akashuka akasema anaishi mwananyamala kisiwan nikamwambia MPE hai kabint Michelle. Basi akaniomba namba za simu. Nikammpa....ghafla nikasituka. Eeeee kumbe nilikuwa naota. Hii kweli kiboko.