iparamasa JF-Expert Member Joined Nov 14, 2013 Posts 13,437 Reaction score 14,927 Apr 1, 2016 #1 Naona sana nchi za ulaya gari inafumuliwa ikitoka hapo nzuri balaa mpaka dashboard,bumper,viti,je gereji ipi Tanzania inafanya haya mambo
Naona sana nchi za ulaya gari inafumuliwa ikitoka hapo nzuri balaa mpaka dashboard,bumper,viti,je gereji ipi Tanzania inafanya haya mambo
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 31,415 Reaction score 38,761 Apr 2, 2016 #2 Nadhani hata kule bei ni kubwa mno, ila mtu anaona ufahari kuendelea kukaa na gari moja muda mrefu ikiwa na muonekano tofauti. Yaani kifupi bongo watu hawawezi sababu gharama zake ni afadhali kununua gari jingine tu.
Nadhani hata kule bei ni kubwa mno, ila mtu anaona ufahari kuendelea kukaa na gari moja muda mrefu ikiwa na muonekano tofauti. Yaani kifupi bongo watu hawawezi sababu gharama zake ni afadhali kununua gari jingine tu.
Mamaya JF-Expert Member Joined Jul 4, 2011 Posts 5,067 Reaction score 4,434 Apr 2, 2016 #3 Ipo nairobi
W wsaria Member Joined Jan 14, 2014 Posts 69 Reaction score 56 Apr 2, 2016 #4 Ipo Dar inaitwa tttrautoupgrades kwenye instagram utaiona
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,496 Apr 3, 2016 #5 wsaria said: Ipo Dar inaitwa tttrautoupgrades kwenye instagram utaiona Click to expand... Wale hawapimp gari lote. Wanapimp hasa sehemu za nje kama bumper na matairi.
wsaria said: Ipo Dar inaitwa tttrautoupgrades kwenye instagram utaiona Click to expand... Wale hawapimp gari lote. Wanapimp hasa sehemu za nje kama bumper na matairi.