Mnyama kazi katulia sana, shida ni kwa wale wa mafuta ya mawazo humo ndio hapatawafaa maana hio chuma ina 3.5L 2GR EngineLeo nikiwa kwenye Pita zangu, mjini nimemuona huyu mnyama mpaka nikasisimka wandugu, Kitu kimetulia sana.
Naomba wenye maelezo kuhusu huyu mnyama, kwa maana ya ufanisi, Bei na Kadhalika...
Umejuaje kuwa Ni ya mwanaume?Maisha haya. Hivi Unajiskiaje kupiga picha gari ya mwanaume mwenzako na kupost mtandaoni?
Tena bila kuHide namba??
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Acheni tabia za kiswahili nyie. Unapostije gari ya mtu kwenye mitandao bila ridhaa yake?Umejuaje kuwa Ni ya mwanaume?
Kwani ni kosa kisheria? Jamaa hajakashifu, ila kaisifia, Sasa kosa lake Ni lipi?Acheni tabia za kiswahili nyie. Unapostije gari ya mtu kwenye mitandao bila ridhaa yake?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Sifa zake zinaweza kumCost mmiliki kwa namna moja au myingine.Kwani ni kosa kisheria? Jamaa hajakashifu, ila kaisifia, Sasa kosa lake Ni lipi?
Kwa hiyo unadhani magari yanayopostiwa mtandaoni hayana wenyewe?Sifa zake zinaweza kumCost mmiliki kwa namna moja au myingine.
Acheni hizo tabia za kiswahili.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kitu kizuri acha kisifiwe. sure mwenye nalo ataichukulia hii picha kama credit kwake .Acheni tabia za kiswahili nyie. Unapostije gari ya mtu kwenye mitandao bila ridhaa yake?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hivi mlipita pita shule kweli hata kidogo? Au umande.?Kitu kizuri acha kisifiwe. sure mwenye nalo ataichukulia hii picha kama credit kwake .
Kumiliki gari unique mjini hapa ni status kubwa.
kumbe, ila kama hybrid ? rav 4mnyama kazi katulia sana, shida ni kwa wale wa mafuta ya mawazo humo ndio hapatawafaa maana hio chuma ina 3.5L 2GR Engine
ni wivu tuHivi mlipita pita shule kweli hata kidogo? Au umande.?
Kama umepost kwa kusifia bila ridhaa ya mmiliki kwanini usiHide hizo namba?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
watu waliosoma bwanaHivi mlipita pita shule kweli hata kidogo? Au umande.?
Kama umepost kwa kusifia bila ridhaa ya mmiliki kwanini usiHide hizo namba?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Sasa kama lipo peke yake hapo mjini hilo gari namba una hide za nini?Hivi mlipita pita shule kweli hata kidogo? Au umande.?
Kama umepost kwa kusifia bila ridhaa ya mmiliki kwanini usiHide hizo namba?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Unajifanya 'much know' kumbe KUBWA jinga!Hivi mlipita pita shule kweli hata kidogo? Au umande.?
Kama umepost kwa kusifia bila ridhaa ya mmiliki kwanini usiHide hizo namba?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
wana mbwembwe sanawatu waliosoma bwana
πππ
bora tubakie na ngumbaru yetuwana mbwembwe sana
sasa mtu kaona kitu kakipenda na kakisifia na ukweli ni kitu kizuri alafu huyo msomi anaona kama kafaidibora tubakie na ngumbaru yetu