big dreamer
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 399
- 1,076
Anayejua eneo hilo atuambie, tuwe na tahadhari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa sipafahamu bt hii picha katupie na kule kwenye Uzi wetu wa warembo wakali
Hakika hii pisi ni kali sana aseee.Hapa sipafahamu bt hii picha katupie na kule kwenye Uzi wetu wa warembo wakali
Kwani kule wanapost picha za barabara pia mkuu?[emoji4]Hapa sipafahamu bt hii picha katupie na kule kwenye Uzi wetu wa warembo wakali
sekenke iramba tanzania
Au ndo wewe kwenye hiyo picha??Hiyo ni maeneo ya Ruhaa Mbuyuni, mbele kidogo baada ya kishuka kitonga kuelekea Morogoro.
Hapana huyo atakuwa Mamako.Au ndo wewe kwenye hiyo picha??
Shelui to sekenke?Usagara
yes mkuu mwanzo kabisa pale chini njia panda ya kibigiriShelui to sekenke?