GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Hiyo View attachment dit_prospectus.pdfEm tuma kwanza hiyo prospectus ya DIT Mkuu
Kidato cha nne.Darasa la 12 ndio lipi hilo
Awa wajinga walio reply hapa hawaelewi kuhusu multimedia.Ndugu wana JF naomba Kuuliza,
Hii kozi ya Multimedia and Film Production, inayotolewa pale DIT.
Ikoje haswa, na ni zipi fursa zake kwenye kujiajiri na hata kuajiriwa.
Nimeona kwenye prospectus ya DIT wanatoa kuanzia level ya Basic technician hadi diploma huko.
Vipi kuna chuo kingine hapa tanzania wanatoa hii kozi.
Nina mdogo wangu kamaliza darasa la 12, nataka apite huko.
Asanteni.
Wewe kigagula tupo hapa tuliojaliwa akili nyingi sana tunamsaidia aelewe. Haendi DIT wala popote na roho yako mbayaSasa si uende DIT ukapate ufahamu vizuri.
Mkuu kwenye kuchagua kozi ya Kusoma kuna mambo mengi sana ya kuangalia.Je Mdogo wako Mpaka anamaliza Darasa la 12 ana interest na hayo Mambo ya Multimedia and Film Production?Kama Jibu ni Ndio Basi Fursa zipo Nyingi sana kwani Hii Kozi inahusisha TIKTOK,YOUTUBE,ADOBE,RADIO,MUSIC/UDJ,Graphic Design.n.k.Ndugu wana JF naomba Kuuliza,
Hii kozi ya Multimedia and Film Production, inayotolewa pale DIT.
Ikoje haswa, na ni zipi fursa zake kwenye kujiajiri na hata kuajiriwa.
Nimeona kwenye prospectus ya DIT wanatoa kuanzia level ya Basic technician hadi diploma huko.
Vipi kuna chuo kingine hapa tanzania wanatoa hii kozi.
Nina mdogo wangu kamaliza darasa la 12, nataka apite huko.
Asanteni.
nakaziaWewe kigagula tupo hapa tuliojaliwa akili nyingi sana tunamsaidia aelewe. Haendi DIT wala popote na roho yako mbaya