Hii Lazima Ucheke Hata Kama Umenuna!!!??

TEKNOLOJIA

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2014
Posts
4,305
Reaction score
2,563
Jamaa alikuwa anafua nguo zake,alipomaliza akaenda kupumzika kitandani.Na hadithi yangu imeishia hapo.
 
Alikuwa anafulia wapi? Bafuni, chooni, jikoni au kwenye karo? Kutumia nini mikono au mashine? Kwenye nini, nyumba ya kupanga au anamiliki mwenye?
 
Muda wako hapa Jf ni tofauti na ulichokileta ndg
 
pumbavu sana wewe nimeacha kwenda kunya nafungua thread kwanza kumbe unaandika ushuzi
ila nimecheka aisee kama ulivyoahidi
teh ! teh! teh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…