Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Msamaha wa Rais ni kwa wale walio fuzu somo la marekebisho ,(reformed)Habari wakuu,
Nimeisoma hii makala nikabaki na duwaa. Nimeona ni kama vile wanaopata msamaha ni kwa makosa ya mauaji (pengine kwa kutokusudia) na wizi mdogo mdogo, na magomvi ya kupigana.
Pengine mnielimishe zaidi. Mtu anafungwaje maisha au anahukumiwa kifo halafu anapata msamaha wa kupunguziwa adhabu. Ukitazama kwenye list ya makosa yasiyostahili msamaha, huyu wa miama 30 au maisha hachomoki. Tatizo ni mahakimu kutoa adhabu zisizostahili?
View attachment 3173558
Huo msamaha unabagua baadhi ya hukumu. Yupo anaeweza kuwa reformed ila alibaka. Msamaha haumhusuMsamaha wa Rais ni kwa wale walio fuzu somo la marekebisho ,(reformed)
msamaha siyo tu unatolewa kiholele. Kuna watu wanaopeleka tathmini kama unakumbuka marehemu Mrema alikuwa mmoja wapo wa kupeleka ripoti. Wengi wanaosamehewa ni wale ambao ni wagonjwa ambao inaonekana kukaa ndani ni changamoto, waliotumikia kifungo muda mrefu na wamerekebishika, waliobakiza muda mfupi pia kumaliza kifungo. Hii inatokana na pia kupunguza mzigo wa kuwalisha na kuwahudumia kwa mahitaji yoye wanayotakiwa kuyapata mfano tiba kula na kupata pa kulala. Kumbuka kuna wanaoingia gerezani karibu kila siku hivo ni muhimu pia kupunguza wingi wa wafungwa. Hizi ni baadhi ya sifa nazozifahamu nategema wajuzi zaidi wanaweza nisahihishaHabari wakuu,
Nimeisoma hii makala nikabaki na duwaa. Nimeona ni kama vile wanaopata msamaha ni kwa makosa ya mauaji (pengine kwa kutokusudia) na wizi mdogo mdogo, na magomvi ya kupigana.
Pengine mnielimishe zaidi. Mtu anafungwaje maisha au anahukumiwa kifo halafu anapata msamaha wa kupunguziwa adhabu. Ukitazama kwenye list ya makosa yasiyostahili msamaha, huyu wa miama 30 au maisha hachomoki. Tatizo ni mahakimu kutoa adhabu zisizostahili?
View attachment 3173558
Ishu ni kwamba, msamaha unaendana na makosa yapi?msamaha siyo tu unatolewa kiholele. Kuna watu wanaopeleka tathmini kama unakumbuka marehemu Mrema alikuwa mmoja wapo wa kupeleka ripoti. Wengi wanaosamehewa ni wale ambao ni wagonjwa ambao inaonekana kukaa ndani ni changamoto, waliotumikia kifungo muda mrefu na wamerekebishika, waliobakiza muda mfupi pia kumaliza kifungo. Hii inatokana na pia kupunguza mzigo wa kuwalisha na kuwahudumia kwa mahitaji yoye wanayotakiwa kuyapata mfano tiba kula na kupata pa kulala. Kumbuka kuna wanaoingia gerezani karibu kila siku hivo ni muhimu pia kupunguza wingi wa wafungwa. Hizi ni baadhi ya sifa nazozifahamu nategema wajuzi zaidi wanaweza nisahihisha
Unaamshwa usingizini unapewa dawa ya usingizi ukiacha mgongo chuma nimeielewa hii code wachache sana watakayoielewaHabari wakuu,
Nimeisoma hii makala nikabaki na duwaa. Nimeona ni kama vile wanaopata msamaha ni kwa makosa ya mauaji (pengine kwa kutokusudia) na wizi mdogo mdogo, na magomvi ya kupigana.
Pengine mnielimishe zaidi. Mtu anafungwaje maisha au anahukumiwa kifo halafu anapata msamaha wa kupunguziwa adhabu. Ukitazama kwenye list ya makosa yasiyostahili msamaha, huyu wa miama 30 au maisha hachomoki. Tatizo ni mahakimu kutoa adhabu zisizostahili?
View attachment 3173558
Kuna mmoja alitaman kurud gerezan maana alifungwa akiwa na miaka 15 huko kagera kaachiliwa akiwa dar,hata hakumbuki ni kagera sehemu ganiWkt wa magu kuna jamaa walupata msamaha kesho yake wakaenda kupora na wakaua.
Umemaliza kila kitumsamaha siyo tu unatolewa kiholele. Kuna watu wanaopeleka tathmini kama unakumbuka marehemu Mrema alikuwa mmoja wapo wa kupeleka ripoti. Wengi wanaosamehewa ni wale ambao ni wagonjwa ambao inaonekana kukaa ndani ni changamoto, waliotumikia kifungo muda mrefu na wamerekebishika, waliobakiza muda mfupi pia kumaliza kifungo. Hii inatokana na pia kupunguza mzigo wa kuwalisha na kuwahudumia kwa mahitaji yoye wanayotakiwa kuyapata mfano tiba kula na kupata pa kulala. Kumbuka kuna wanaoingia gerezani karibu kila siku hivo ni muhimu pia kupunguza wingi wa wafungwa. Hizi ni baadhi ya sifa nazozifahamu nategema wajuzi zaidi wanaweza nisahihisha
Yah, wapo watu wameshazoea maisha ya jelaKuna mmoja alitaman kurud gerezan maana alifungwa akiwa na miaka 15 huko kagera kaachiliwa akiwa dar,hata hakumbuki ni kagera sehemu gani