Hii makala nimeisoma nikashindwa kuelewa. Sasa wanaopata msamaha wa Rais walikosa nini hadi kufungwa?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Habari wakuu,

Nimeisoma hii makala nikabaki na duwaa. Nimeona ni kama vile wanaopata msamaha ni kwa makosa ya mauaji (pengine kwa kutokusudia) na wizi mdogo mdogo, na magomvi ya kupigana.

Pengine mnielimishe zaidi. Mtu anafungwaje maisha au anahukumiwa kifo halafu anapata msamaha wa kupunguziwa adhabu. Ukitazama kwenye list ya makosa yasiyostahili msamaha, huyu wa miama 30 au maisha hachomoki. Tatizo ni mahakimu kutoa adhabu zisizostahili?

 
Na nyie mnasoma tu mnapita hamjaelewa kama mimi? Tushirikishane
 
Msamaha wa Rais ni kwa wale walio fuzu somo la marekebisho ,(reformed)
 
msamaha siyo tu unatolewa kiholele. Kuna watu wanaopeleka tathmini kama unakumbuka marehemu Mrema alikuwa mmoja wapo wa kupeleka ripoti. Wengi wanaosamehewa ni wale ambao ni wagonjwa ambao inaonekana kukaa ndani ni changamoto, waliotumikia kifungo muda mrefu na wamerekebishika, waliobakiza muda mfupi pia kumaliza kifungo. Hii inatokana na pia kupunguza mzigo wa kuwalisha na kuwahudumia kwa mahitaji yoye wanayotakiwa kuyapata mfano tiba kula na kupata pa kulala. Kumbuka kuna wanaoingia gerezani karibu kila siku hivo ni muhimu pia kupunguza wingi wa wafungwa. Hizi ni baadhi ya sifa nazozifahamu nategema wajuzi zaidi wanaweza nisahihisha
 
Ishu ni kwamba, msamaha unaendana na makosa yapi?
 
Unaamshwa usingizini unapewa dawa ya usingizi ukiacha mgongo chuma nimeielewa hii code wachache sana watakayoielewa
 
Umemaliza kila kitu
 
Jela ukikaa muda mrefu unazoea life la kule na masela wa kule hutamani kutoka kamwe ni vile hawajui. unakua kama uko bording school tuu.. shida inakuja pale unapoambiwa umesamehewa sasa uende huko duniani ukajitegemee na hujui ukaanzie kushika wapi na wapi uache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…