Hapa kuna mambo yafuatayo;mosi-tatizo ni la mkeo,yaani iwe iwavyo mwanamke yoyote ambae ni mchumba/girlfriend/mke wa mtu lazima ajiheshimu anapofanya lolote,namna alivyokatika sio sahihi hata kama hakunachoendelea baina yao,sio kila jambo anafanyiwa kila mtu au kila mahali.Pili-wewe ni tatizo,kwanini unachukulia mambo kinegative sana?Kwanini usifikirie kuwa yale mauno alikua anakuonesha wewe badala ya mdau japokua hakutumia njia sahihi?