Hii Mercedes Benz SLS AMG ni hatari!

Hii Mercedes Benz SLS AMG ni hatari!

Wick

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
8,313
Reaction score
12,170
Cheki Mercedes Benz SLS AMG walichokifanya kwenye tunnel road!

maxresdefault.jpg


new-2018-mercedes~benz-gle-amggle63s4maticcoupe-8607-16834543-33-1024.jpg


5eb0e86a455de9549dc8790c3e1bfe24.jpg

 
Hizi gari za kufunguka binafsi sina mzuka nazo kabisa hata nikifikia uwezo wa kununua dizaini hii.
 
Hizi gari za kufunguka binafsi sina mzuka nazo kabisa hata nikifikia uwezo wa kununua dizaini hii.
Ishu cheki walivyoifanya stable on road!..Kuweza kutembea chini juu si jambo la mchezo mzee!!..
 
Hizi ndio gari za kutembelea, tatizo bei ila zitachangwa tu.
 
Gari nyingi za wenzetu, ukileta Africa, hakuna barabara yakutembelea. Na foleni zetu hizi duuuh, nishida kwakweli...
 
Gari nyingi za wenzetu, ukileta Africa, hakuna barabara yakutembelea. Na foleni zetu hizi duuuh, nishida kwakweli...
Ila ile Bentley Bentayga nazani africa linatembeleka!
 
dah! huyo Michael mpaka leo hajapona tu
 
Nadhan ni concept. For the first time niliiona kwenye movie ya Justice League alikua nayo Batman.
 
Nadhan ni concept. For the first time niliiona kwenye movie ya Justice League alikua nayo Batman.
Toka 2010 zipo mtaani hizo mkuu!..
Unaambiwa chasis na body frame yake ni aluminium!..
 
Back
Top Bottom