Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha utateseka sna team MugabeKama uchaguzi wote unasimamiwa na chama, huu mchango unalenga nini kama si rushwa?
Ndio hoja?Ustaadh unateseka Mno 😄😄
Shekhe, hata maana ya rushwa tu hujui?Kama uchaguzi wote unasimamiwa na chama, huu mchango unalenga nini kama si rushwa?
Chama kimelipia uchaguzi wote.
View attachment 3202739
Mchango wa nini? Kuhonga wajumbe?Shekhe, hata maana ya rushwa tu hujui?
Kwa hiyo wewe hapo ukituma mchango utakuwa rushwa ya nini?
Wajumbe wanahongwa na ccm kupitia Wenje na genge lake wakisaidiwa na nyie ma CHAWA wa mbogambogaMchango wa nini? Kuhonga wajumbe?
Kwa hiyo Malaria 2 ana mimba ya TAL?!HUwa inakuwa hivyo akijifungua atakuwa normal. Hata mke wangu alipokuwa mjamzito alikuwa ananichukia siku nzima ananisema tu vibaya. Baada ya kuzaa huwa anacheka. Na huyu naye akizaa atakuwa sawa. Namwonea huruma. Wanawake wana tabu kwa kweli. Yeye ametokea kumchukia Lissu mpaka unashangaa ni hivi hivi au?
Hujui kuwa kufanya siasa kuna gharama?Lissu mchango wa nini? Kulipia maria space?
Kununua wajumbe?Hujui kuwa kufanya siasa kuna gharama?
Kununua watu ni kazi ya ccmKununua wajumbe?
Wewe kichwa yako ina funza.Kama uchaguzi wote unasimamiwa na chama, huu mchango unalenga nini kama si rushwa?
Chama kimelipia uchaguzi wote.
Pesa hii haitamika kuhonga wajumbe na kusambaza propaganda dhidi ya chama?
View attachment 3202739
Unayajua mengi.....🤣🤣🤣 So siyo yake?Nssikia risasi imepiga koroduni na haifanyi tena kazi, hio mimba ya Kachina?