Chakaza JF-Expert Member Joined Mar 10, 2007 Posts 40,455 Reaction score 73,145 Jun 28, 2010 #2 Ha! hii sana noma.
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Jun 28, 2010 #4 Duh
chloe.obrain JF-Expert Member Joined Feb 25, 2010 Posts 391 Reaction score 21 Jun 28, 2010 #6 Aiseeee, inatia kinyaa masikini huyo kaka sijui alikuwa ameacha mdomo wazi lol!!
Pengo JF-Expert Member Joined Oct 15, 2009 Posts 579 Reaction score 10 Jun 28, 2010 #7 chloe.obrain said: Aiseeee, inatia kinyaa masikini huyo kaka sijui alikuwa ameacha mdomo wazi lol!! Click to expand... Kilichomfanya amvute bukta mwenzie nini?Wacha ale alichokitaka!
chloe.obrain said: Aiseeee, inatia kinyaa masikini huyo kaka sijui alikuwa ameacha mdomo wazi lol!! Click to expand... Kilichomfanya amvute bukta mwenzie nini?Wacha ale alichokitaka!
Kariakoo Member Joined Nov 1, 2009 Posts 32 Reaction score 2 Jun 28, 2010 #9 hiyo ni FOTOSHOP wandugu. Kama ni kweli jamaa aliyeharishiwa hatacheza tena contact sport.:mmph:
Sajenti JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 3,651 Reaction score 413 Jun 29, 2010 #10 Vyovyote iwavyo najaribu kufikiria huyo jamaa aliyehara ni kwamba aliweka mzigo mpaka muda wa tukio au ni ajali tu?? vinginevyo jamaa alikuwa na ana matatizo ya tumbo na mara mambo yakawa hayo.....Mhhh!!:whistle:
Vyovyote iwavyo najaribu kufikiria huyo jamaa aliyehara ni kwamba aliweka mzigo mpaka muda wa tukio au ni ajali tu?? vinginevyo jamaa alikuwa na ana matatizo ya tumbo na mara mambo yakawa hayo.....Mhhh!!:whistle: