Hii Midoli wanayopewa mshindi wa Kwanza Hadi wa tatu kwenye michezo ya Jumuia ya Madola inawakilisha nini?

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Nimeona Tangu zawadi zilipoanza kutolewa Kwa washindi, baada ya Medali iwe ya Shaba, Fedha au Dhahabu mshindi anapewa pia Mdoli Wenye Sura kama Kanyani kadogo.
Naomba wajuzi mnisaidie kujua Midoli hii inawakilisha nini maana wenzetu hawana kawaida ya Kuweka kitu kisicho na maana Fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…