CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Nikikumbuka hii Movement huwa numia sana, ni bahati Mbaya sana Watanzania sisi hatuamini kwenye umoja na hii ndo changamoto kubwa sana inayo tukumbuka.
Hii movement ilikuwa na nguvu sana sema baadae baada ya kuingia Magu mambo yakawa magumu sana, ingawa hata kabla yake tiyari ilikuwa haina nguvu tena.
Ila ilikuwa ni Idea nzuri sana na Maxence Melo's anaweza angali ni namna gani ya kirudisha ile zamani,
Hii movement ilikuwa na nguvu sana sema baadae baada ya kuingia Magu mambo yakawa magumu sana, ingawa hata kabla yake tiyari ilikuwa haina nguvu tena.
Ila ilikuwa ni Idea nzuri sana na Maxence Melo's anaweza angali ni namna gani ya kirudisha ile zamani,