Sasa Magufuli amehusishwa vipi hapo?Awamu hii mabeberu wanatoa povu kabisa..Wamebakia na maigizo, taarab na minuguniko tu..Magu bado miaka 7 ataendelea kuwa vuruta makende
huwezi jua sababu bado rais wako ni jk.Sasa Magufuli amehusishwa vipi hapo?
Tanzania ni vitimbi tupu!!! Sasa ni mpigana na mauaji na kula albino persons au ni kufokea adui mbeberu asiyekuwepo isipokua kwa akili zenu!!!!
Albino mnaua hamuai!?? mnawala au hamwaliAhaaa haaa haaa
Hayo anayoongelea ni ya miaka GANI?
Mnaona sifa kwamba albino wananyofolewa viungo na kuuawa? Alafu mnamhusisha Jiwe wenu kwenye huo uovu? Mmevurugwa akili sio bure.Mabeberu yazidi kupanick tu, wajue tu Tanzania sio shamba la bibi walilozoea kuja kutuibia madini yetu na nyara za taifa. Watawehuka sana
Awamu hii mabeberu wanatoa povu kabisa..Wamebakia na maigizo, taarab na minuguniko tu..Magu bado miaka 7 ataendelea kuwa vuruta makende
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NomaInaitwa "The crossing" kwenye season 1 episode 8 kuna mdada anaeleza kile alikiona Tanzania wakati alikwenda kutalii, kwamba albino wanasakwa na kuchinjwa na viungo vyao kuuzwa kwa bei ghali mno. Tazama hapa picha kwenye sub titles.
View attachment 1134215
View attachment 1134218
View attachment 1134220
View attachment 1134222
Uchawi Umezidi huko kwao mabeberu, wanaita sijui black magic etc hata wana vitabu za kueneza uchawi kama harry potter..Wajiangalie sana kabla kuja africa kujifanya malaika, uchawi ni tatizo dunia nzima na kwao umefika hadi PhdMnaona sifa kwamba albino wananyofolewa viungo na kuuawa? Alafu mnamhusisha Jiwe wenu kwenye huo uovu? Mmevurugwa akili sio bure.
Hongera zenu kwa kujifunza kula albino kutoka kwa wazungu.Uchawi Umezidi huko kwao mabeberu, wanaita sijui black magic etc hata wana vitabu za kueneza uchawi kama harry potter..Wajiangalie sana kabla kuja africa kujifanya malaika, uchawi ni tatizo dunia nzima na kwao umefika hadi Phd
Kweli kabisaDuuuuh itabid waziri wa mambo ya nje akawashughulikie hao