joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Ok kumbe wewe ni mkikuyu, samahani sana kwa kukusumbua, kamwe sitoendelea kukusumbua, ni walewaleeeeeeWe have a saying in Kikuyu...Where there is Meat(Kenya), flies(Tanzania) are always present.
Hehehe
Ya ngoswe mwachie ngosweHivi hao Vijana wa Kikenya wanafanya maandamano 24/7 ina maana hawana kazi ya kufanya?
Hivi kweli mtu una Mishe zako za kutengeneza mpunga utaingia kwenye maandamano daily kisa unataka Raila awe Rais?
What is the reason for this?
Yaani niache mazao yangu yanaharibika kule shambani nijikite barabarani? Why? And How?? And for what? May be I am damn stupid.
For democracy and transparency sio kwasababu ya raila wana jambo na lipo wazi wanalisimamia ukiwa huna good governing hata huko shamba na mishe zako ni hasara tu .Hivi hao Vijana wa Kikenya wanafanya maandamano 24/7 ina maana hawana kazi ya kufanya?
Hivi kweli mtu una Mishe zako za kutengeneza mpunga utaingia kwenye maandamano daily kisa unataka Raila awe Rais?
What is the reason for this?
Yaani niache mazao yangu yanaharibika kule shambani nijikite barabarani? Why? And How?? And for what? May be I am damn stupid.
Proud Kikuyu ama una shida?Ok kumbe wewe ni mkikuyu, samahani sana kwa kukusumbua, kamwe sitoendelea kukusumbua, ni walewaleeeeee
Sina shida hata kidogo, nilikua sijajua ninazungumza na kabila gani, hapo ndiyo nilikua na shida, sasa hivi umeniondolea hiyo shida, umeniweka huru, vipi kuhusu Nairobi business community( mungiki), unawafahamu?Proud Kikuyu ama una shida?
Wanaendelea na kazi ya kulinda Mali yao kwenye maduka yao mjini Nairobi.Sina shida hata kidogo, nilikua sijajua ninazungumza na kabila gani, hapo ndiyo nilikua na shida, sasa hivi umeniondolea hiyo shida, umeniweka huru, vipi kuhusu Nairobi business community( mungiki), unawafahamu?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wanaendelea na kazi ya kulinda Mali yao kwenye maduka yao mjini Nairobi.
Wakapewa pesa na Nani? Mimi pesa zangu nimejitafutia bila usaidizi toka serikalini, all I need is a stable Govt to undertake my responsibilities.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mungiki siku hizi wamefungua maduka ya biashara?, ama kweli serikali belongs to Kikuyu, baada ya kumaliza kazi ya kuua 2007 walipewa pesa wakafungua maduka?
Ok, kumbe wewe ni miongoni mwa mungiki?, kwa sababu mimi ninaulizia mungiki wale walioshiriki mauaji 2007 ambao wanapewa pesa na Uhuru KenyattaWakapewa pesa na Nani? Mimi pesa zangu nimejitafutia bila usaidizi toka serikalini, all I need is a stable Govt to undertake my responsibilities.
Kama una capital njoo invest Tanzania, acha ubishi, the future is in Tanzania, Kenya is dead, wakikuyu wengi ambao wameachana na ushabiki wa kijinga tupo nao huku na wala hawana mpango wa kurudi kwenye nchi ya kupiga siasa kuanzia January to December, watalii nao hao wamechoshwa na siasa za ukabila zisizoisha, wameamua kuja kwenye amani na utulivu, wewe endelea kujidanganya tu kwamba mambo ni mazuri.
Kiongozi umenibania yule mkuu kwa pointi mpaka karudi kwenye kiswahili na kujitambulisha mkikuyu.. Ha ha haKama una capital njoo invest Tanzania, acha ubishi, the future is in Tanzania, Kenya is dead, wakikuyu wengi ambao wameachana na ushabiki wa kijinga tupo nao huku na wala hawana mpango wa kurudi kwenye nchi ya kupiga siasa kuanzia January to December, watalii nao hao wamechoshwa na siasa za ukabila zisizoisha, wameamua kuja kwenye amani na utulivu, wewe endelea kujidanganya tu kwamba mambo ni mazuri.
Ha ha ha ha... Mkuu unatafuta kisingizio..... Jibu tu! Naona ulibanwa mpaka ukarudi kwenye kiswahili!!! Ha ha ha.I will only answer your queries after magufooli eradicates laziness.
Waliokufa 2007 wengi walikuwa wakikuyu hiyo basis unachokisema umesikia vijiweni wala si facts. I told you earlier you know nothing about KENYA.Ok, kumbe wewe ni miongoni mwa mungiki?, kwa sababu mimi ninaulizia mungiki wale walioshiriki mauaji 2007 ambao wanapewa pesa na Uhuru Kenyatta
Mambo tunayojadili na mwenzangu Jiwe La Moto huwezani tafadhali.Ha ha ha ha... Mkuu unatafuta kisingizio..... Jibu tu! Naona ulibanwa mpaka ukarudi kwenye kiswahili!!! Ha ha ha.
Wewe kichwa chako kimejaa nyuki kichwani, mimi sijataja kabila gani waliokufa wengi, nimetaja kikundi cha mungiki ambacho ni kikundi cha wakikuyu kilichopigana dhidi ya Kalenjin, unabisha mungiki hawakuhusika kwenye yale mauaji?, wewe ninaweza kukufundisha kuhusu siasa za Kenya hadi upate PhD, uwelewa wako bado upo chini sanaWaliokufa 2007 wengi walikuwa wakikuyu hiyo basis unachokisema umesikia vijiweni wala si facts. I told you earlier you know nothing about KENYA.
Nikikupiga ngumi uyaniangalia tuu? Don't use many words to say nothing brother. Have you ever heard Kikuyu people attack other tribes who reside in Central Kenya? Kikuyus are attacked and their property vandalised and destroyed outside Central Kenya. You clearly exhibit some ignorance on matters concerning Kenya, you are made to think some tribes oppress others but in reality it is some selfish leaders who are hell bent to divide us.Wewe kichwa chako kimejaa nyuki kichwani, mimi sijataja kabila gani waliokufa wengi, nimetaja kikundi cha mungiki ambacho ni kikundi cha wakikuyu kilichopigana dhidi ya Kalenjin, unabisha mungiki hawakuhusika kwenye yale mauaji?, wewe ninaweza kukufundisha kuhusu siasa za Kenya hadi upate PhD, uwelewa wako bado upo chini sana
All in all but the truth is Kikuyu and Kalenjin are two communities which fought against one another during 2007 PEV, that's why Uhuru and Rutto were accused of supporting different side of the war, if you don't know this, or if you still don't agree with me, I will ask your fellow Kenyans who are knowledgeable with this issue to teach you your history, your head seems to be very empty.Nikikupiga ngumi uyaniangalia tuu? Don't use many words to say nothing brother. Have you ever heard Kikuyu people attack other tribes who reside in Central Kenya? Kikuyus are attacked and their property vandalised and destroyed outside Central Kenya. You clearly exhibit some ignorance on matters concerning Kenya, you are made to think some tribes oppress others but in reality it is some selfish leaders who are hell bent to divide us.