Hii msitu ya wanaume......... ni sunna au ni uchafu tuu?

Hii msitu ya wanaume......... ni sunna au ni uchafu tuu?

Kigarama

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2007
Posts
2,492
Reaction score
1,230
Kwa watu wenye kufuata misimamo fulani ya kiitikadi kufuga midevu ni swala la Sunnha. Lakini mijanaume mingi hadi sehemu nyingine nywele huwa hazinyolewi hadi wapigizane mikelele na wapenzi wao.

Sasa na hizi nywele za maeneo mengine nazo kufuga ni sunnha au ni uchafu wa wanaume? Jamaa wengine hawapitishi wembe mpaka wajue wanakwenda kukutana na"girlfriend" mpya.

Wanawake tupeni uzowefu wenu hii staili ya "urastafariani" hadi kwenye maeneo nyeti haiwakeri?
 
Ukidhani wewe si mwendawazimu pima kwanza uhusiano wako na machizi!!
 
crap of crapiest ever..................
 
sasa umeionaje misitu ya wanaume wenzio?? au nawewe ndo......
 
Unaongelea ndefu au nini?

Kama ndefu wanapenda sana dada zetu..kwa hiyo ni mtaji
 
Kwa watu wenye kufuata misimamo fulani ya kiitikadi kufuga midevu ni swala la Sunnha. Lakini mijanaume mingi hadi sehemu nyingine nywele huwa hazinyolewi hadi wapigizane mikelele na wapenzi wao.

Sasa na hizi nywele za maeneo mengine nazo kufuga ni sunnha au ni uchafu wa wanaume? Jamaa wengine hawapitishi wembe mpaka wajue wanakwenda kukutana na"girlfriend" mpya.

Wanawake tupeni uzowefu wenu hii staili ya "urastafariani" hadi kwenye maeneo nyeti haiwakeri?

nonsense,hopelesss.. upuuziiii
 
sasa umeionaje misitu ya wanaume wenzio?? au nawewe ndo......

huyu jamaa(kigarama) kama ni "Me" kaniacha na maswali meengiiii... Mashoga tunao humu!!!!!!!
 
Back
Top Bottom