Hii mvua kusini, korosho itakuwa mtihani mwaka huu

Hii mvua kusini, korosho itakuwa mtihani mwaka huu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kwanza Mikoa ya Kusini ya Lindi na Mtwara na Wilaya ya Tunduru hatujazoea mvua za vuli na tunategemea Sana korosho zenye kuhimili joto. Sasa msimu huu sijui itakuwaje maana mvua ya maembe imeanza mapema sana kunyesha week hii na kusababisha maua ya korosho kudondoka na ndio kwanza yalianza kuota.

Pia achilia mbali maua tu hata dawa ya sulfur tunayopulizia yote inakwenda chini. Vjijini Huku mwaka huu utakuwa mgumu Sana.
 
Acha na sisi wakulima wa mahindi tupate, sio nyie tu kila siku
 
Nimetoka kupigiwa simu nusu saa imepita nimeambiwa niende kununua KANGOMBA Kwa TSH 1500 Ila nimeogopa kuweka pesa....ishu za korosho ni kamali Sana kuanzia Kwa wakulima na wachuuzi
Bei ya matajiri inatarajiwa kua Kati ya 2100 au 2300. Haya piga hesabu hapo kwa hiyo 1500
 
Back
Top Bottom