Nimejaribu kuwaandikia sms ONDOA lakini wananijibu bado hujajiunga na ZALI na maelezo mengine ya kitapeli.
Nifanye nini kukomesha huu utapeli ukizingatia kila unapowatumia sms wanakata kwenye salio la simu.
Tafadhali ninyi watu wa yas tuondoleeni mambo haya ya kitapeli
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Nifanye nini kukomesha huu utapeli ukizingatia kila unapowatumia sms wanakata kwenye salio la simu.
Tafadhali ninyi watu wa yas tuondoleeni mambo haya ya kitapeli
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app