Acha kutumia ma InfinixNimejaribu kuwaandikia sms ONDOA lakini wananijibu bado hujajiunga na ZALI na maelezo mengine ya kitapeli.
Nifanye nini kukomesha huu utapeli ukizingatia kila unapowatumia sms wanakata kwenye salio la simu.
Tafadhali ninyi watu wa yas tuondoleeni mambo haya ya kitapeli
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Uongoo,... Itakua hiyo tecno yako ikipata joto inajiongeza 🤣🤣🤣Alafu sikuizi YAS Wana tabia ya kubipu watu bila ruhusa ya mwenye namba. Unashangaa unapigiwa simu na X wako mbona nimekuta missed call Yako wakati hata ujapiga si mala Moja Wala mbili inatokea sana
Kweli mkuu Ata watu wengine nasikia Wana lara mikaUongoo,... Itakua hiyo tecno yako ikipata joto inajiongeza 🤣🤣🤣
Kwanini wakalale Mika badala ya kulala nyumbani kwaoKweli mkuu Ata watu wengine nasikia Wana lala mika
Matapeli sana Mimi nilipiga blockNimejaribu kuwaandikia sms ONDOA lakini wananijibu bado hujajiunga na ZALI na maelezo mengine ya kitapeli.
Nifanye nini kukomesha huu utapeli ukizingatia kila unapowatumia sms wanakata kwenye salio la simu.
Tafadhali ninyi watu wa yas tuondoleeni mambo haya ya kitapeli
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app