Tetesi: Hii nashindwa kuiamini au kwakuwa niko napata vodka kuondoa baridi? Ngoja niwape kama nilivyopigiwa simu na mnyetishaji

Tetesi: Hii nashindwa kuiamini au kwakuwa niko napata vodka kuondoa baridi? Ngoja niwape kama nilivyopigiwa simu na mnyetishaji

Status
Not open for further replies.

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Habari za weekend,
Ujio wa Dr balozi padree utakuwa na hatua nyingine za kushtukiza ambazo kuna vijana wake wanne ndani ya CHAMA fulani mmoja aliyekuwa mbunge wa maeneo ya stendi ya mabasi na mwingine mbunge wa kule alikoshindwa mbatia, watakutana na rais kutoa yao ya moyoni , na kueleza ukimya wao wa mda mrefu ,

Ila kupitia kwa Mwenezi Pole pole wameweza kukutana na secretariat ya Chama dume na kuahidiwa nafasi nne za juu ambazo ni nzuri endapo wakiacha ubunge na kurudi kwenye chama ambacho hakina kigugumizi kukemea ufisadi

Wakati kingunge na sumaye wakitaka kurejea ccm lakin mangula mzee wa mafaili akasema kazi yao ya kumuangalia mtu maarufu ndani ya upinzani ambayo waliwakabidhi tokea wakiwa CCM haijaisha bado Ana kaarufu ka kutishia usalama wa nchi

Ikumbukwe Task hii walipewa watu watatu kujifanya na karibu na jamaa kumbe watamwangusha na ku leakisha habari,

Alikuwa Msukuma, Kingunge na Nchimbi, mzee alijiachia akadhani ni wa kwao.kumbe lah

Kwa upande mwingine Makongoro Nyerere anapewa cheo soon ndani ya serikali ya Jpm,

Keep waitn

Kama hutaki kuamini acha kabisa,

Ngoja niongeze vodka hapa

Within one month hayo yatatimia

Brittany
 
Basi kama taarifa yako huiamini nami siiamini naipuuzilia mbali
 
Habari za weekend,
Ujio wa Dr balozi padree utakuwa na hatua nyingine za kushtukiza ambazo kuna vijana wake wanne ndani ya CHAMA fulani mmoja aliyekuwa mbunge wa maeneo ya stendi ya mabasi na mwingine mbunge wa kule alikoshindwa mbatia, watakutana na rais kutoa yao ya moyoni , na kueleza ukimya wao wa mda mrefu ,

Ila kupitia kwa Mwenezi Pole pole wameweza kukutana na secretariat ya Chama dume na kuahidiwa nafasi nne za juu ambazo ni nzuri endapo wakiacha ubunge na kurudi kwenye chama ambacho hakina kigugumizi kukemea ufisadi

Wakati kingunge na sumaye wakitaka kurejea ccm lakin mangula mzee wa mafaili akasema kazi yao ya kumuangalia mtu maarufu ndani ya upinzani ambayo waliwakabidhi tokea wakiwa CCM haijaisha bado Ana kaarufu ka kutishia usalama wa nchi

Ikumbukwe Task hii walipewa watu watatu kujifanya na karibu na jamaa kumbe watamwangusha na ku leakisha habari,

Alikuwa Msukuma, Kingunge na Nchimbi, mzee alijiachia akadhani ni wa kwao.kumbe lah

Kwa upande mwingine Makongoro Nyerere anapewa cheo soon ndani ya serikali ya Jpm,

Keep waitn

Kama hutaki kuamini acha kabisa,

Ngoja niongeze vodka hapa

Within one month hayo yatatimia

Brittany
Itakua ni Vodka tu,
Hakuna kitu kama hicho
 
Nenda mitaa ya kati kakamate shangingi moja la kirusi hapo uondoe baridi
 
Maendeleo tusahau.
Mijengo yudizim imekreki utadhani imetikiswa na zilzala.
 
Habari za weekend,
Ujio wa Dr balozi padree utakuwa na hatua nyingine za kushtukiza ambazo kuna vijana wake wanne ndani ya CHAMA fulani mmoja aliyekuwa mbunge wa maeneo ya stendi ya mabasi na mwingine mbunge wa kule alikoshindwa mbatia, watakutana na rais kutoa yao ya moyoni , na kueleza ukimya wao wa mda mrefu ,
Mhariri jaribuni kudhibiti watunga habari za kijiweni kama huyu nanga ili credibility ya JF isitetereke. Huyu jamaa huwa anapenda kuleta habari za vijiweni. Tuanaomba muwe mnazihamishia kwenye chit chat.
 
Maandiko matakatifu yanasema hivi , AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU "
 
Mleta uzi wangalau sasa hivi nikisia Lissu anaenda ccm ndio naweza kushtuka kwani ndio mpinzani ninayemuamini. Hao wengine hata wakiondoka sasa hivi sishangai kwani sasa hivi kuhamia ccm ni fashion. Mwanzo watu waliamini ni kweli watu wanahamia ccm kisa imebadilika, lakini ule upuuzi uliofanyika kwenye uchaguzi wa juzi tumebaki tunawapuuza. Na sasa hatutakwenda kupiga kura tena kwani hatuko tayari kuona wapendwa wetu wakipata vilema vya maisha kisa siasa, na kura kuchezewa kwa kulitumia jeshi la polisi na tume. Bakini mshindane wenyewe na muanzishe upinzani wa kikabila na kikanda kwani sias za vyama vingi hamziwezi.
 
Tunasubiri sarakasi zoote...tutaelewa nini kilichopo!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom