Nicodemas Tambo Mwikozi
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 663
- 1,047
Ninasoma saana humu ila mwezenu napenda kula local food
Mfano chai nasindikiza na maboga mamung'unya mahindi ya kuchemsha viazi Karanga nk
Kwa kawaida hivi hua vinahitaji maji tuu chumvi mzigo unaamka
Swali je kuna mtaalamu humu ambaye ana ujuzi mpyaa wa kutengeneza hivi vitu vema zaidi...
Mfano chai nasindikiza na maboga mamung'unya mahindi ya kuchemsha viazi Karanga nk
Kwa kawaida hivi hua vinahitaji maji tuu chumvi mzigo unaamka
Swali je kuna mtaalamu humu ambaye ana ujuzi mpyaa wa kutengeneza hivi vitu vema zaidi...