Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,690
Salaaamu wakulu!
Yaani mke kaingiwa na imani ya dini ajabu! Basi kila siku 1 ya juma anaenda kushinda kwenye mkesha kanisani! Tena unakuta ni mwisho wa juma ambapo unamuhitaji sana hasa kwa mapumziko! Na kesho yaki akirudi atalala kutwa nzima kisa amekesha! Mzee unajichukulia time unaenda kupiga mitungi na ukirudi balaa jingine " lecture" zinaanza duh yaani tabu kweli kweli! Hapa msaada gani unafaa .............hehe hiki ni kikomo cha magari mabovu tena duh.
Yaani mke kaingiwa na imani ya dini ajabu! Basi kila siku 1 ya juma anaenda kushinda kwenye mkesha kanisani! Tena unakuta ni mwisho wa juma ambapo unamuhitaji sana hasa kwa mapumziko! Na kesho yaki akirudi atalala kutwa nzima kisa amekesha! Mzee unajichukulia time unaenda kupiga mitungi na ukirudi balaa jingine " lecture" zinaanza duh yaani tabu kweli kweli! Hapa msaada gani unafaa .............hehe hiki ni kikomo cha magari mabovu tena duh.