shukuru Mungu ameokoka maana angeamua kuwa sister du ungemfukuza
Nilikuwa sikubaliani nao na sitakubaliana nao, lakini katika hili sina budi kumshauri mume ajiunge 'infidelity'.
nawajua jamaa ambao wake zao wanadai wanashinda kanisani lakini mara nyingi huwa nakumbana nao kwenye kumbi za starehe na wanakesha, sina maana na huyu ni mmoja wao, lakini kwa kukidhi haja ya moyo si mbaya nae mwanaume akiongeza maombi na akijiunga infidelity kujipoza kidogo.
NOTE: UKIMWI upo na unaua
How sure are you? Anapoenda kwenye mkesha are sure anaenda kwenye mkesha kweli?
Kumbe una wasiwasi? real pole ila kwa mwanamke mwenye busara bado atakua na muda na mumewe kaa chini uongee nae
Nilikuwa sikubaliani nao na sitakubaliana nao, lakini katika hili sina budi kumshauri mume ajiunge 'infidelity'.
nawajua jamaa ambao wake zao wanadai wanashinda kanisani lakini mara nyingi huwa nakumbana nao kwenye kumbi za starehe na wanakesha, sina maana na huyu ni mmoja wao, lakini kwa kukidhi haja ya moyo si mbaya nae mwanaume akiongeza maombi na akijiunga infidelity kujipoza kidogo.
NOTE: UKIMWI upo na unaua
Siri anayo mwenyewe kama kweli anaenda au anaenda kwenye mambo yake still kwenda kwenye mkesha si chanzo cha kusema ameokoka kwani hauwezi kukesha nyumbani kwako unasali
Sawa kabisa au angeamua kwenda kushinda kwa waganga wa kienyeji je? Mshukuru sana MUNGU wako wife yupo kwenye mstari, hizo starehe haziishi baba na mwisho wake always utaishia kitandani, mara figo mara sijui kisukari mkeo huyo huyo ndo atakayekuwa anakuhudumiashukuru Mungu ameokoka maana angeamua kuwa sister du ungemfukuza
Sawa kabisa au angeamua kwenda kushinda kwa waganga wa kienyeji je? Mshukuru sana MUNGU wako wife yupo kwenye mstari, hizo starehe haziishi baba na mwisho wake always utaishia kitandani, mara figo mara sijui kisukari mkeo huyo huyo ndo atakayekuwa anakuhudumia
Akaliwe na Padre:becky::becky::becky:
Nilikuwa sikubaliani nao na sitakubaliana nao, lakini katika hili sina budi kumshauri mume ajiunge 'infidelity'.
nawajua jamaa ambao wake zao wanadai wanashinda kanisani lakini mara nyingi huwa nakumbana nao kwenye kumbi za starehe na wanakesha, sina maana na huyu ni mmoja wao, lakini kwa kukidhi haja ya moyo si mbaya nae mwanaume akiongeza maombi na akijiunga infidelity kujipoza kidogo.
NOTE: UKIMWI upo na unaua