Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Matokeo ya Nape Nnauye ya Ordinary level secondary education ni Division TWO..,kwa anayetaka kujiridhisha anaweza ku-google mwenyewe NECTA matokeo ya Nsumba Secondary 1997. na hata kwa matokeo mengine pia ambayo Ni ya ndani ya Nchi na kuhusu matokeo ya chuo cha bangalore nayo yapo TCU.,ni jambo la kuuliza na kujibiwa.
 

weka na ya kwako tuone, mnyika alikwepa jibu akajitungia swali lake lingine kabisa akaamua kutoa historia ya maisha yake badala ya kueleza kiwango chake cha elimu
 
oie!
mnyika o'level kapata A tisa, A'level kapata division 11, mbona nape anakwepa kuweka credit zake?
 
weka na ya kwako tuone, mnyika alikwepa jibu akajitungia swali lake lingine kabisa akaamua kutoa historia ya maisha yake badala ya kueleza kiwango chake cha elimu
kama unashindwa kuelewa historia ya elimu na historia ya maisha una matatizo.
 
Hii sio cv! Au hujui maana ya cv? Kajipange upya na huyo bwanako Naape
 
BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.
 
Kumbe ni mwalimu wa elimu awali pale Butimba. Kwi kwi kwi! Ndo maana hata wazee wetu kanaona kama watoto
 
NO! NO! NO! NO!!! Usipotoshe jukwaa Ndg Nnape!!

TUNATAKA MATOKEO YAKO YA FORM FOUR NA SIX HAPA!! Sio blah blah!!

Diploma mwaka mmoja!!!
 
mmemshika pabaya ndugu patel.......teh teh teh.......
 
Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe
hapo ndio watu wanapodondokewa na kitu chenye ncha kali.. tunaomba na wengine mnapokuja na siasa za elimu zenu msisahau kuonyesha kipengele hicho yaani KIWANGO CHA JUU CHA ELIMU YAKO, HATA KAMA STD SEVEN NDIO MAJAALIWA YAKO
 

acha kuzungukazunguka sema ALI "RESEAT" BAADA YA KUPATA 4 YA 29.
 
Nape ni msemaji wa CCM na Nape naye anamsemaji wake ndio huyo aliyeweka hiyo CV hapo so msishangae kwanini Nape hajaandika mwenyewe ilihali ni member humu, ni mgawanyo wa majukumu na wengine mkono uende kwa kinywa, ila hapo BUTIMBA TTC nadhani kijana unaweza ukawa _ fired nenda kajipange uje ufafanue vizuri.
 

Naomba ufafanuzi wa hapo pekundu. Je ile DIV IV ilimpeleka Butimba? kusoma A level au Ualimu? Je anayo DIPLOMA ya UALIMU kutoka Butimba? au Butimba ni Sekondari?
 

Ukiona mtu anahamahama shule ujue kuna tatizo.....aidha la kinidhamu au la walezi/wazazi........halafu hii haina qualifications za kuitwa CV........imekaa kama ukle wasifu wakati wa mazishi ya mtu!
 
Tuanzie hapa form 4

NAPE NNAUYE
SEX M DIV IV PTS 29 KISW D HIST D GEOG D ENGL F B/MATH F BIOL D CHEM D PHY D CIV F
-----------------------
JOHN MNYIKA
SEX M DIV I PTS 7 PHY A CHEM A BIOL A CIV A ENGL A GEOG A HIST A B/MATH A KISW A B/KNOW A
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…