Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

tandale one si ndiyo id ya nape apa jf naona kaja kujiteteaaaaaaaaaaaaaaaaaa....mods sor nmejkwaa ila nmeona huyu jamaa nmpashe nape mwa..................
 
A leve butmba labda nape alsoma mkumbaro au upe kile si chuo cha ualimu mhhhhhhhhhhh cv nyngne ni kchefuchefu
 
A leveL butmba labda nape alsoma mkumbaro au upe kile si chuo cha ualimu mhhhhhhhhhhh cv nyngne ni kchefuchefu
 
mbona utata mtupu Butimba TTC ndo nini sasa alisoma ualimu au secondali au ile shule ya mazoezi butimba lakini haina A'level
 
shityy CV, ndomana watu wanakichukia chama cha mapinduzi, jitu likiwa na "sauti kubwa" tu linapata wadhifa. Hivi kwa CV mlioitaja hapo inafaa kumpa mtu ukatibu mkuu wa chama chenye wanachama zaidi ya milion 5? elimu yenyewe kaunga unga...kuna certificate hapo imefichwa au imeandikwa kama diploma ( mfumo wa elimu ya bongo unajulikana bana). Hiki chama kingejipendekeza kwa vijana wenye elimu zao ( wapo vijana wana phd yani hata miaka 40 hawajafikisha, doctorate zao zinahusu masuala ya siasa nawajua wengi ) wakakisaidia chama kupanga mikakati kuliko kuweka mijitu yenye sauti kubwa bila vitu kichwani...kama unabisha hilo jamaa sio ubuyu, fanya survey ya watu wangapi ambao sio wanachama wa CCM hua wanamsikiliza akiwa na interview kwene luninga ujionee mwenyewe.
 
Mi form 4 nilipata division 4 ya 31 mwaka 1990 lakini sasaivi nina gari 3.gesthouse 4.na nina kampuni yangu nime ajiri watu kibao na wenye digrii za first class 3.maisha na matokeo tofauti katika dunia hii.
 
pengine Butimba TTC ilikuwa ni kituo cha mitihani ya elimu ya A-level ya mwaka moja ila yeye alirudia miaka miwili
 
  • Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC

naomba maelezo zaidi
 
Mi form 4 nilipata division 4 ya 31 mwaka 1990 lakini sasaivi nina gari 3.gesthouse 4.na nina kampuni yangu nime ajiri watu kibao na wenye digrii za first class 3.maisha na matokeo tofauti katika dunia hii.

kama umefaidika na pesa za escrow na degree za chupi je? nyie madem mnapewa sana degree za chupi
 
  • Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC

naomba maelezo zaidi
 
Tuna wasomi wengi wenye elimu za kutisha, mifano kama ya akina prof muhongo, lakini elimu zao hizo hazilinufaisha taifa hili zaidi ya matumbo yao na familia zao. kama hiyo haina manufaa kwa nchi, kwangu mimi ni USELESS, NI KAMA MTU AMBAYE HAKWENDA SHULE TU.
Nazungumzia 'application' ya hizo CV zao, hazina tija kwa Mama Tanganyika...!
 
Hebu fuatilia kwa makini kama ubuyu huu uliwahi kukaa darasani kusomea hiyo MPA. Rushwa tupu. Mkuu wa rushwa atatokomeza vipi rushwa kwenye chama chetu kilichojaa rushwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…