VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
Hongera ila
Nilisikiag umbea kwa waumin wenzie kule kwenye miito ya baraka kwa mchungaji Bruno , jaman walokole wanasengenyana sisi wakaida atuingii ndani, wambea kama sio walokole vile
Sijawahi sikia kama ana mke... warumi tusaidie hapa eti masanja ana mke..
Safi sana Masanja Mjanja hukoi bali unabanja unakwenda kwa nguvu ya mungu wala sio ganja.
sijawahi sikia kama ana mke... warumi tusaidie hapa eti masanja ana mke..
Hahaa mbona umeongea kwa hisia hvyo....kwani wew unauelewa kwani kuhusu ndoa...mtu akikwambia neno ndoa unaelewa nini...?Hivi kweli kuna haja ya kufuga ng'ombe wa maziwa kwa ajili ya maziwa wakati maziwa yanauzwa sokoni bei chee,au kununua gazeti wakati gazeti lipo mtandaoni buure unasoma kwa raha zako.Kuoa nini bana,kuoa kitu gani,wakuolewa wako wapisiku hizi?hizi ndoa ni ndoa za mkataba kama ule wanaoutaka akina Jussa na Maalimu Seif
Nilishawahi sikia mwanaume akiwa na pesa ni ngumu sana kutulia.....hana mke ni kiwembe mbaya......,
Walikua wanasemaje
Nilisikiaga wanasema anafanya biashara haramu, Mara hajaokoka, si unajua umbea wa makanisani? Maana c mchezo jamaa pesa anazo , kweli kilimo kinalipa na the comedy show
Walimwengu hawatakosa la kusema
Nilisikiaga wanasema anafanya biashara haramu, Mara hajaokoka, si unajua umbea wa makanisani? Maana c mchezo jamaa pesa anazo , kweli kilimo kinalipa na the comedy show