Hii ndio gari mpya aliyonunua Masanja Mkandamizaji

Hana mke ila ana mtoto mmoja na kweli nasikia masanja ni play boy sana.

Kuhusu kiwanja comedy wote wana viwanja walivyopewa na Manji kule kigamboni ila Mpoki na Mac Regan kama sikosei ndi wamejenga na kuishi huko.

Masanja pia kajenga huko Mbalizi mbeya ni nyumba ya kawaida ila kwa kule inaonekana bora na hata nyumba ya kwao Iringa Kakarabati vizuri tu.
 
Hahaa mbona umeongea kwa hisia hvyo....kwani wew unauelewa kwani kuhusu ndoa...mtu akikwambia neno ndoa unaelewa nini...?

Sister ndoa zilikuwa zamani ambapo mwanamke alimpenda mwanaume kwa ajili ya upendo,siku hizi mapenzi yamekuwa pesa,umaarufu,sifa na mwisho kusafisha nyota,wadada wa siku hizi huangalia mu mfuko,si mumeona mwenzenu dada nanii....kaolewa na mtu wa umri wa babake kisa pesa,hebu fikiria huyo babu angekuwa sio milionea kweli angemuoa na kuishi na huyo dada yetu .
 
Dah....kuna uzi mmoja kule mmu unasema "wasiobabaishwa na mapenzi" wa Husninyo....funguo huo uzi....kwanini nimesema hvyo nimependa comment ya Preta alipokuwa egypt aliona ndoa ingawa yeye alisema mapenzi kama jinsi unavyoona lakini tangia aende canaan hayo mambo anayasikia kwa watu.....ndugu ndoa zipo endapo tu utamshirikisha Mungu...
 
Last edited by a moderator:
Saka mkwanja kwa speed ya ajabu,wakati wao wanapiga domo wewe unahesabu noti na kufanya maendeleo.
Big up sana Masanja.
 

Wako wanawake wachache sana mjini wenye mawazo kama yako sure ni mazuri, kama ujaolewa nakuombea upate mume bora, kama umeolewa basi Ndoa yako na idumu ktk furaha siku zote....hapo Dar, wizi mtupu, yani watu wanapenda kwanza pesa alafu baadae wewe. Watoto wa mjini kisu ni ela tu
 
Amen mkuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…