hii ndio ghofu yangu ilionipelekea kuaga

bilaa shakaa mungu atakujaliaa utapona..kwa walee ndugu zangu waislam..tumsomee dadaa yatu kulhalau tatu
 
Jamani Pole sana Nilham Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu. duh jaman haya magonjwa ya moyo zamani tulijua ni ya wazee siku hizi hata vijana yanatupata.Pole sana utapona kwa neema zake maulana
 
Kama tulivyozungumza InshaAllah uwende salama Sitachoka kusubiri subira uvua kheri InshaAllah urudi salam akujaalia ya kheir Upone haraka na mwili unawiri Dua njema nakuombea akuponyeshe Kahari Ukisharudi unipe nzuri habari Waeleze jamaa mimi ndo wako daktari Hivi nipo kwenye basi naenda safari Kuweka mikakati yakuleta mahari InshaAllah urudi salama ili mambo yawe shwari

Nakudedicate nyimbo ya Alicia Keys No One........

http://www.youtube.com/watch?v=rywUS-ohqeE



"No One"

I just want you close
Where you can stay forever
You can be sure
That it will only get better

You and me together
Through the days and nights
I don't worry 'cause
Everything's going to be alright
People keep talking they can say what they like
But all i know is everything's going to be alright

No one, no one, no one
Can get in the way of what I'm feeling
No one, no one, no one
Can get in the way of what I feel for you, you, you
Can get in the way of what I feel for you

When the rain is pouring down
And my heart is hurting
You will always be around
This I know for certain

You and me together
Through the days and nights
I don't worry 'cause
Everything's going to be alright
People keep talking they can say what they like
But all i know is everything's going to be alright

No one, no one, no one
Can get in the way of what I'm feeling
No one, no one, no one
Can get in the way of what I feel for you, you, you
Can get in the way of what I feel

I know some people search the world
To find something like what we have
I know people will try, try to divide something so real
So till the end of time I'm telling you there ain't no one

No one, no one, no one
Can get in the way of what I'm feeling
No one, no one, no one
Can get in the way of what I feel for you, you, you
Can get in the way of what I feel for you

oh oh oh oh oh oh oh oh oh oh oh oh oh oh oh oh
 
Pole sana NILHAM mungu ni mwema siku zote amini utapokea uponyaji
Amen
 
nakuombe upate heri na afya njema na matibabu yafanikiwe mpendwa. God be with you
 
yaani mwenzenu anaumwa nyie mnamgongea ma senks? magreti thinka bana

bek to ze topik: pole sana ze one and ze only Nilham rasheed
 
get well soon nilham!!

we are praying for ur wellbeing... inshaaalah mola atakusaidia😛ray:
 
Namuomba Mwenyezi Mungu Mtukufu Mola wa Arshi tukufu akuponyeshe Insha'Allah.
 
you will be back in one peace!....that i know..
 
ikitokea unatakiwa heart transplant naomba nikupatie wa kwangu.
 
Mungu mwenye enzi yote kwa rehema zako na wingi wa uumbaji usio na wa wala doa Muangalie binti huyu na jinsi ulivyogaramika kumuumba basi kwa sala zetu twaomba heri umponye na maombi yake
inshallah uzidi kutuletea uumbaji kama huu kwenye uzao wetu hasa "Jicho"lake kwa mola tunaomba
AMEN
 
Mwenyezi mungu akuponye na akuepushe na operation my dear, pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…