Hii ndio hali ya Johannesburg, Afrika ya Kusini. Tusipochukua hatua za haraka na madhubuti, hali hii itafika kwetu

Hii ndio hali ya Johannesburg, Afrika ya Kusini. Tusipochukua hatua za haraka na madhubuti, hali hii itafika kwetu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Hii ndio hali ya Johannesburg, Afrika ya Kusini. Tusipochukua hatua za haraka na madhubuti, hali hii itafika kwetu, tunamuomba Mwenyezi Mungu SUbhana Wataala atunusuru.. TUMUOMBE MUNGU ATULINDIE VIJANA WETU AMIN


 
Dah ungesema video inahusu haya majanga wengine tusifungue
Tupe muhtasari basi
Kabla sijafungua huwa nasoma comments kwanza kama hizi, hivyo siifungui tena mpaka unitishe hapa na kuniambia

Tatizo wanaoleta video na thread za hivi huwa hawasemi kabisa kuna nini
 
Na unavyozidi promotiwa kila wakati na kila saa huku hakuna hatua zozote zinachukuliwa na naamini hazitachukuliwa kwa usiriazi wowote na huu utandawazi,,,kinazidi kuzoeleka kwenye macho,,,masikio,,,na fikra za walimwengu na kuonekana cha kawaida,,,haya mambo si kupiga kelele bali yanahitaji kuchukuliwa hatua madhubuti haswa ya ""mkono wa Chuma na si lelemama kupambana nayo haswa kwa wakati huu ulimwengu unavyodhidi chafuka!!!Na kwa nchi zetu hizi maskini wa fikra,,maono,,ubinafsi,,,Unafki nk ni swala la muda tu,,pambana kadri wewe utavyoweza kwa engo yako lakini upinzani utakao kutana nao si wa kitoto,,,watu wanajali Kitu,,si Utu tena!!
 
Hii ndio hali ya Johannesburg, Afrika ya Kusini. Tusipochukua hatua za haraka na madhubuti, hali hii itafika kwetu, tunamuomba Mwenyezi Mungu SUbhana Wataala atunusuru.. TUMUOMBE MUNGU ATULINDIE VIJANA WETU AMIN


View attachment 2556227
Naona mashabiki wa Slava Ukraine 🇺🇦 wakisheherekea kifurushi kipya cha silaha toka NATO.
 
Hivi video imewadindisha mabasha wa kitanganyika wanatamani kuzamia south Africa wakajipatie vinyeo vya bwerere.

Cc: Top for B
 
Back
Top Bottom