Hii ni barabara iendayo Shule ya Secondary Ndumbwe ambayo niya kutwa iliyopo Mkoani MTWARA halmashauli ya MTWARA VIJIJINI, imekuwa nikelo kubwa kwa watu wapitao barabara hiyo hasa walimu na wanafunzi wasomao shule ya Secondary Ndumbwe!
Nimeshapiga kazi hapo ndumbwe.
Kuna barabara zipo mbili,kuna moja ni ya njia ya waendao kwa miguu ambayo ina mawe sana, na nyingine ni ile ya gari ambayo hutokezea maeneo ya parade.
Ni mbaya na haipitiki.
Naunga mkono hoja japo hujaiweka hiyo barabara ili watu waone hali halisi.
N'daambi kupoje sasaiv?
Nilikuwa nakaa mitaa hiyo,pale dispensari.
Duuh.
Maisha yanaenda kasi sana!
Hii ni barabara iendayo Shule ya Secondary Ndumbwe ambayo niya kutwa iliyopo Mkoani MTWARA halmashauli ya MTWARA VIJIJINI, imekuwa nikelo kubwa kwa watu wapitao barabara hiyo hasa walimu na wanafunzi wasomao shule ya Secondary Ndumbwe!