Hii ndio Historia Kuntu ya Somalia

Wasomali ndiyo kabila pekee wanaopigana ndugu kwa ndugu bila maelewano takriban miaka 20 sasa.

Naona huu ni ujinga.

Wasomali pia ni maarafu kwa kuwashona mabinti kwenye papuchi zao na kuacha tundu la kukojoa kwa lengo la kuhifadhi ubikra. So inhuman
 
Mtoa mada alikuwa na lengo zuri la kutuhabarisha kuhusu historia ya Somalia ila amepotosha sana mambo mengi.. inaonyesha hakufanya utafiti mzuri kwenye mada yake..

Machache ambayo amekosea...

Hakukuwa na watu wanaoitwa wayahudi miaka ya 8400 BC.. na Pharaoh Khufu sio mwanzilishi wa dola ya Misri..
 
mmmmh somalia kwa kwelii mmmh siendi hata bureeeeeh, ila kitu ethiopia labda,, maana juzi kati nimekutana na mdada wa kiethiopia aiseeeeeeh, now naona nina dalili za 'ethiopian girl's disease' mbaya zaidi kwa maongezi yake matamu na kakifua flani hiv kama kavunja ungo jana hata contact sikukumbuka, naombeni mwenye rafiki aliyepo ethiopia aniunganishe nae nataka kufika huko[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
 
Hii historia ipo shallow sana. Hapo kuna figure nyingi huja zitaja na matukio kibao umeyapotezea. Kwamfano ni kitu gani kilisababisha Sied Barre kupinduliwa!? Vipi kuhusu rule ya koo katika maisha ya wasomali!? Na vipi pia kuhusu Vita ya Koo na pia kuhusu Mbabe wa Kivita MOHAMED FARRH IDEED!? Vipi kuhusu kabila la la wabantu lililo kuwepo Somalia na sasa wamehamia Handeni na wana zungumza lugha moja na wenyeji wa Handeni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…