Hii ndio ilipaswa kuwa hukumu sahihi kwenye kesi ya Mzee Magoma Vs Yanga

Hii ndio ilipaswa kuwa hukumu sahihi kwenye kesi ya Mzee Magoma Vs Yanga

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Kesi ya Msingi ya Mzee Magoma ilikuwa ni kwamba " Uongozi uliopo wa Yanga hauna uhalali kwa sababu umeingia madarakani kwa mujibu wa katiba ya mwaka 2020 ambayo yeye Mzee Magoma anasema katika hiyo sio halali kwa sababu haijasajiliwa RITA na kwamba katika iliyo sajiliwa RITA ni ile ya mwaka 2011.

.........

Kama huyo hakimu angekuwa anajitambua basi alipaswa kutoa hukumu ifuatayo:

"Kuuagiza uongozi wa Yanga kuepeleka mara moja katiba yao mpya ya mwaka 2020 ikasajiliwe RITA"

Na sio kutoa hukumu ya kuamuru uongozi uliopo eti uondoke madarakani.

Ishu ndogo tu ya technicality.

Narudia tena, Tanzania hatuna wasomi wa sheria ila tuna watu ambao wamekariri vifungu vya sheria.

Ndio maana wanatunga na kuandika sheria ambazo hazina mantiki.

KWA mfano: Kijana wa miaka 17 alie mnajisi mtoto wa mwaka mmoja eti anapewa adhabu ya kifungo cha nje mwaka mmoja au miwili na faini ya sh laki moja.

Ila kijana wa miaka 18 akimpa ujauzito binti wa miaka 17 anafungwa maisha gerezani.
 
Kwaiyoo mtu akifanya mauaji sheria imwambie kama anauwezo wa kumfufua kama yesu ataachwa huru
 
Kesi ya Msingi ya Mzee Magoma ilikuwa ni kwamba " Uongozi uliopo wa Yanga hauna uhalali kwa sababu umeingia madarakani kwa mujibu wa katiba ya mwaka 2020 ambayo yeye Mzee Magoma anasema katika hiyo sio halali kwa sababu haijasajiliwa RITA na kwamba katika iliyo sajiliwa RITA ni ile ya mwaka 2011..


.........

Kama huyo hakimu angekuwa anajitambua basi alipaswa kutoa hukumu ifuatayo:


" Kuuagiza uongozi wa Yanga kuepeleka mara moja katiba yao mpya ya mwaka 2020 ikasajiliwe RITA"

Na sio kutoa hukumu ya kuamuru uongozi uliopo eti uondoke madarakani.

Ishu ndogo tu ya technicality...


Narudia tena, Tanzania hatuna wasomi wa sheria ila tuna watu ambao wamekariri vifungu vya sheria.

Ndio maana wanatunga na kuandika sheria ambazo hazina mantiki.

KWA mfano: Kijana wa miaka 17 alie mnajisi mtoto wa mwaka mmoja eti anapewa adhabu he kifungo cha nje mwaka mmoja au miwili na faini ya sh laki moja.

Ila kijana wa miaka 18 akimpa ujauzito binti wa miaka 17 who anafungwa maisha gerezani..
Sawa Mheshimiwa hakimu.....
 
Sasa kama wameingia kwa katiba ambayo haijasajiriwa Wana uhalali Gani wakuwa viongozi? Umenielewa ulichoandika kweli?
Haijasijiriwa= haijasajiliwa.

Ni kama tu wewe hapo mkuu ulivyo andika " haijasajiriwa" badala ya " haijasajiliwa"

Sasa badala ya kukuita wewe kilaza au hukwenda shule, ninakwambia badilisha spelling. Weka l kwenye hiyo r.
 
Back
Top Bottom