Hii ndio Kenya, GDP na bajeti kubwa, lakini haviwezi kujenga reli wala kulipa Madeni.

Hii ndio Kenya, GDP na bajeti kubwa, lakini haviwezi kujenga reli wala kulipa Madeni.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Si kitu cha kushangaza kuona wakenya wanachanganyikiwa na wengine kupinga kwamba serikali ya Tanzania inaweza kutekeleza miradi mikubwa kwa pesa za ndani, jambo ambalo ni ndoto ya mchana kwa Kenya kutekeleza.

Jambo linalowafanya kushangaa, ni pale wanapolinganisha bajeti kubwa inayopangwa kila mwaka, lakini hakuna linalofanyika, badala yake GoK imekua ikikopa hata kwa miradi midogo sana.

Kitu ambacho wakenya wengi wanashindwa kuelewa ni kwamba, haijalishi ni kiasi gani unapata kwa mwaka, muhimu zaidi ni nidhamu ya matumizi na kuziba mianya ya upotevu wa mapato.

Hiyo ndio siri kubwa ya mafanikio ya Magufuli katika utawala wake, yeye aliamini kwamba, kama ataziba matobo yanayovujisha na kusababisha upotevu wa Fedha za serikali, miradi mingi inatekelezeka bila mikopo.

Kama Kenya haitoziba hii mianya, hata bajeti ikiongezeka Mara mia moja, Kenya utaendelea kuwa shithole country, kwasababu rushwa nayo itaongezeka Mara mia mbili.
 
Nyie mmlipa deni ya Ndege mwanzo???achaa aibu ndogo ndogo we ngendere
 
Wewe ndo umechanganyikiwa .Orodhesha miradi mnayotekeleza kwa pesa zenu.
 

Si kitu cha kushangaza kuona wakenya wanachanganyikiwa na wengine kupinga kwamba serikali ya Tanzania inaweza kutekeleza miradi mikubwa kwa pesa za ndani, jambo ambalo ni ndoto ya mchana kwa Kenya kutekeleza.

Jambo linalowafanya kushangaa, ni pale wanapolinganisha bajeti kubwa inayopangwa kila mwaka, lakini hakuna linalofanyika, badala yake GoK imekua ikikopa hata kwa miradi midogo sana.

Kitu ambacho wakenya wengi wanashindwa kuelewa ni kwamba, haijalishi ni kiasi gani unapata kwa mwaka, muhimu zaidi ni nidhamu ya matumizi na kuziba mianya ya upotevu wa mapato.

Hiyo ndio siri kubwa ya mafanikio ya Magufuli katika utawala wake, yeye aliamini kwamba, kama ataziba matobo yanayovujisha na kusababisha upotevu wa Fedha za serikali, miradi mingi inatekelezeka bila mikopo.

Kama Kenya haitoziba hii mianya, hata bajeti ikiongezeka Mara mia moja, Kenya utaendelea kuwa shithole country, kwasababu rushwa nayo itaongezeka Mara mia mbili.


Hapo mwisho nimecheka sana.
😂🤣😝😛😁😀
Bajeti ikiongezeka mara Mia 1, corruption inaongezeka mara Mia 2.
 
Kenya haijawahi samehewa deni.
Deni si grant...utailipa na interest
 

Si kitu cha kushangaza kuona wakenya wanachanganyikiwa na wengine kupinga kwamba serikali ya Tanzania inaweza kutekeleza miradi mikubwa kwa pesa za ndani, jambo ambalo ni ndoto ya mchana kwa Kenya kutekeleza.

Jambo linalowafanya kushangaa, ni pale wanapolinganisha bajeti kubwa inayopangwa kila mwaka, lakini hakuna linalofanyika, badala yake GoK imekua ikikopa hata kwa miradi midogo sana.

Kitu ambacho wakenya wengi wanashindwa kuelewa ni kwamba, haijalishi ni kiasi gani unapata kwa mwaka, muhimu zaidi ni nidhamu ya matumizi na kuziba mianya ya upotevu wa mapato.

Hiyo ndio siri kubwa ya mafanikio ya Magufuli katika utawala wake, yeye aliamini kwamba, kama ataziba matobo yanayovujisha na kusababisha upotevu wa Fedha za serikali, miradi mingi inatekelezeka bila mikopo.

Kama Kenya haitoziba hii mianya, hata bajeti ikiongezeka Mara mia moja, Kenya utaendelea kuwa shithole country, kwasababu rushwa nayo itaongezeka Mara mia mbili.

Wacha ujinga aise ,mbona Tz bado ni taifa la LDC kama mnayo mipangilio na matumizi bora zaidi ya mapato? This is a case of looking at the speck in your neighbor's eye while ignoring the big log in your bloody eye.
 
Hv kiswahili kimekua kigumu kwako...
Orodhesha miradi yote ile mliofanya kw pesa zenu na imekamilika
1)Mv Mbeya imejengwa kwa pesa za ndani.
2)Sgr phase 1 .
3)Upanuzi wa barabara za Morogoro road .

Na kuna vingine vinakuja
1)Sgr phase 2 .......
2)Daraja la pangani na Busimi.
3)Uwanja wa chato.
4)Rufiji stiglers gorge.

Una lingine la kuuliza?????
 
Tulia baba...w hujui kitu...nliyemuuliza hilo swali kakimbia...

Mv mbeya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
1)Mv Mbeya imejengwa kwa pesa za ndani.
2)Sgr phase 1 .
3)Upanuzi wa barabara za Morogoro road .

Na kuna vingine vinakuja
1)Sgr phase 2 .......
2)Daraja la pangani na Busimi.
3)Uwanja wa chato.
4)Rufiji stiglers gorge.

Una lingine la kuuliza?????
 
Tulia baba...w hujui kitu...nliyemuuliza hilo swali kakimbia...

Mv mbeya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eh jombaa unapewa majibu unatetereka tatizo nini????
Aya sawa sijui kitu maana kubishana na Mkenya ni sawa na uache kazi ufanye kazi.
 
We kwnn hujiulizi mwenzako kakimbia..manake sikuanza mm kumuuliza ujue..
Lkn usijali..umejitahidi
Eh jombaa unapewa majibu unatetereka tatizo nini????
Aya sawa sijui kitu maana kubishana na Mkenya ni sawa na uache kazi ufanye kazi.
 
We kwnn hujiulizi mwenzako kakimbia..manake sikuanza mm kumuuliza ujue..
Lkn usijali..umejitahidi
Yeye ni yeye mimi ni mimi.
Walielewa hilo???
Acha inferior mindset kuwa ww ukishindwa na mwenzako ameshindwa pia.
 
We kwnn hujiulizi mwenzako kakimbia..manake sikuanza mm kumuuliza ujue..
Lkn usijali..umejitahidi
Anekuheshimu sana huyo ndio sababu amekujibu, Mimi siwezi kujibizana na Kibera dweller
 
Back
Top Bottom