Hii ndio nafasi pekee kwa Feisal Salum kucheza soka la nje

Timu inayo hitaji huduma ya Feisali ni lazima iwe inatambulika na Laliga ila kama Laliga hawaijui kabisa hiyo team,basi Feisali hauzwi
 
K
Kwani kila mtu lazima acheze nje? In ajib voice
 
Kila jambo na wakati wake sahihi naamini akicheza michezo ya kimataifa akaonekana zaidi thamani yake itapanda zaidi tulipe muda, mwnye akili tomamu hawezi kuumuza kipindi hiki timu ina malengo makubea ya kimataifa.
 
Dogo aende tu haiwezekani ukikaa mitaa ya K/koo unaona anaendesha ki IST kakipiga chata kubwaaaa nyuma ya FEI TOTO wakati kelvin P john hana ata miaka miwili Genk ila juzi kaingia taifa na vieitee...Uto wamuachie uyo dogo aende majuu yatakuja kuwa kama ya kaka ake mjomba Ngasa enzi izo ngasa anawika akapelekwa Mazembe hataki na ndugu yake Ajibu
 
Hahah mkuu una uhakika Hilo V8 ni la kwake?
 
Hawa wachezaji wetu baba zao wakiskia umri wao unaotajwa kwenye timu zao watakufa kwa presha
 
Yanga hela ipo, aende nje kufanya nini
 
hivi Msuva aliondoka free Yanga? Au Diffa walivunja mkataba
Mkuu hata hilo hujui? Halafu wewe ni shabiki kabisaaa wa Yanga. Msuva mkataba wake na Yanga uliisha ndo akasajiliwa na hao waarabu wa morocco.
 
Mkuu hata hilo hujui? Halafu wewe ni shabiki kabisaaa wa Yanga. Msuva mkataba wake na Yanga uliisha ndo akasajiliwa na hao waarabu wa morocco.
mkuu nitake radhi mi siyo utopolo
 
Yanga hela ipo, aende nje kufanya nini
Wewe hela za GSM tu zimekufanya uvimbewe tumbo, hawa wanaopata huo mpunga ambayo ni budget yenu kwa mwaka mzima kupitia gate pass tu waseme nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…