October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
Habari wana jukwaa ni maatumaini yangu kuwa ni wazima, niende moja kwa moja kwenye mada, kiukweli kwamba asilimia ya watu wengi maisha ni magumu ila moa ya tatizo linalotukumba wengi wetu ni kutokuwa na mtaji wa kutosha wa kuanzisha biashara ili kujikomboa katika hali hii mbaya ya kiuchumi au muda mwingine kukosa kabisa mtaji mzima, mtaji umekuwa ni serious problem haswahaswa kwa vijana ila mtaji utaendelea kwa ni tatizo vizazi na vizazi endapo watu tutashindwa kuwacha ubinafsi na kuwa pekeyake pekeyake, umoja na ushirikiano ndio njia rahisi ya mafanikio kwa dunia ya sasa hivi kwa sisi watoto wa kimaskini, kwa kupitia umoja na ushirikiano tunaweza tukafanya project kubwa kubwa, biashara na uwekezaji mkubwa na hatimaye kufika mbali kumiliki kampuni zetu wenyewe.
kwa mfano tu wanachuo munaosoma pamoja na kupokea boom kikweli boom ni pesa ndogo sana mpaka ukimuona mtu kanunua hata laptop hakununua kirahisi rahisi kuna action alifanya, sasa tunapokuja kwa wanachuo kupata mtaji wenye tija na unoleweka wakufanyia project frani inakuwa ni ngumu ila linapokuja suala la kuwa pamoja na kuunganisha nguvu mtaji mkuwa huwa rahisi sana kupatikana ila hili waliowengi hawalioni wanaishia kuwa selfish tu.
kampuni nyingi za kichina zimezaliwa kutokana na kuunganika watu hata mia na kuwekeza kwa pamoja kwa uwekezaji wa muda mrefu, mpaka leo wana mafanikio makubwa sana na makampuni makubwa mengi sana ila ukija kwa watanzania kila mtu kaikumbatia pesa yake ndogo ndani.
hivi imagine undapo mutaungana watu hata kumi kila mtu aka weka million moja ambayo itakuwa sawasawa na million kumi arafu muka wekeza kwenye biashara ambazo zina tija kama kilimo au na investment yoyote na mukapata profit mukawekeza kwengine mukapata faida mukawekeza tena kwahiyo mwisho wa siku muna investment hata nane au kumi na inakuwa rahisi kuzi manage kwasababu muko wengi na kila mtu atachukua majukumu yake mwisho wa siku mnakuwa na hata makampuni yenu ila sasa unakuwa pekeyako na ka million moja chako na ubinafsi na kutaka faida za haraka utaishi chini juu utaendelea kuwaona wakina Mengi, Mo na Bakhresa ila tutapoungana kwa pamoja tutaweza kufanya ushindani na wakina Mengi.
hapa naongea ana watoto wa maskini kama mimi inabidi tuamke sasa muda ndio huu maisha yanavyozidi kwenda ndio changamoto zinazidi ni kweli wazazi wetu walikuwa maskini inafikia hatua mzazi anashindwa kukupa hata laki tatu ya ada tu mpaka vikao vikaliwe wakope fedhea na kadharika nisingependa turuhusu hili litokee kwa watoto wetu sisi ni muda wa kuwa na mawazo ya makampuni sasa.
NB: uwekezaji wenye tija ni ule wa muda mrefu sio ule faida za leo kesho, pia mungu hubaliki katika umoja na ushirikiano
NAWASILISHA
OCTOBER MAN
kwa mfano tu wanachuo munaosoma pamoja na kupokea boom kikweli boom ni pesa ndogo sana mpaka ukimuona mtu kanunua hata laptop hakununua kirahisi rahisi kuna action alifanya, sasa tunapokuja kwa wanachuo kupata mtaji wenye tija na unoleweka wakufanyia project frani inakuwa ni ngumu ila linapokuja suala la kuwa pamoja na kuunganisha nguvu mtaji mkuwa huwa rahisi sana kupatikana ila hili waliowengi hawalioni wanaishia kuwa selfish tu.
kampuni nyingi za kichina zimezaliwa kutokana na kuunganika watu hata mia na kuwekeza kwa pamoja kwa uwekezaji wa muda mrefu, mpaka leo wana mafanikio makubwa sana na makampuni makubwa mengi sana ila ukija kwa watanzania kila mtu kaikumbatia pesa yake ndogo ndani.
hivi imagine undapo mutaungana watu hata kumi kila mtu aka weka million moja ambayo itakuwa sawasawa na million kumi arafu muka wekeza kwenye biashara ambazo zina tija kama kilimo au na investment yoyote na mukapata profit mukawekeza kwengine mukapata faida mukawekeza tena kwahiyo mwisho wa siku muna investment hata nane au kumi na inakuwa rahisi kuzi manage kwasababu muko wengi na kila mtu atachukua majukumu yake mwisho wa siku mnakuwa na hata makampuni yenu ila sasa unakuwa pekeyako na ka million moja chako na ubinafsi na kutaka faida za haraka utaishi chini juu utaendelea kuwaona wakina Mengi, Mo na Bakhresa ila tutapoungana kwa pamoja tutaweza kufanya ushindani na wakina Mengi.
hapa naongea ana watoto wa maskini kama mimi inabidi tuamke sasa muda ndio huu maisha yanavyozidi kwenda ndio changamoto zinazidi ni kweli wazazi wetu walikuwa maskini inafikia hatua mzazi anashindwa kukupa hata laki tatu ya ada tu mpaka vikao vikaliwe wakope fedhea na kadharika nisingependa turuhusu hili litokee kwa watoto wetu sisi ni muda wa kuwa na mawazo ya makampuni sasa.
NB: uwekezaji wenye tija ni ule wa muda mrefu sio ule faida za leo kesho, pia mungu hubaliki katika umoja na ushirikiano
NAWASILISHA
OCTOBER MAN