Tetesi: Hii ndio picha ya Diamond iliyowekwa ikulu

Tetesi: Hii ndio picha ya Diamond iliyowekwa ikulu

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Ukiingia conference room ya ikulu utakutana na hii picha ya Nasib Abdul almaarufu Diamond Platnumz.

1464086841111.jpg
 
Lakini pia si kuna picha za vikatuni vya kuchora vimewekwa hapo Ikulu? kwa hiyo sio issue hususani kwa utawala huu wa Magufuli.
 
ameingizia serikali sh ngapi hyu dogo?
yupo vizuri ila sijui kama anastahili yote hayo lakini napita tu
ila nampenda sana diamond he is real inspirational
Diamond ameajiri vijana wengi mno wengi tayari wamejenga wanaendesha magari kupitia kampuni zake kama WCB record label, WCB production house, WCB photos nk.... Kwenye show zake watu wanatengeneza mamilioni kwa siku moja kuanzia wandaaji wamachinga nk... Kuna watu instagram wanaendesha family zao kupitia story za Diamond... So nje ya mapinduzi yake kwenye sanaa nzima ya Tanzania ametekeleza ajira nyingi sana.
 
Maandishi ya JF yamekuwa madogo sana. Sasa I don't know whether everyone is experiencing this problem. Please mods, can you do something to rectify the problem?
 
Diamond ameajiri vijana wengi mno wengi tayari wamejenga wanaendesha magari kupitia kampuni zake kama WCB record label, WCB production house, WCB photos nk.... Kwenye show zake watu wanatengeneza mamilioni kwa siku moja kuanzia wandaaji wamachinga nk... Kuna watu instagram wanaendesha family zao kupitia story za Diamond... So nje ya mapinduzi yake kwenye sanaa nzima ya Tanzania ametekeleza ajira nyingi sana.
mzee mengi kaajiri watu wangapi
bhakresa je
mohamed dewji
rostam aziz
na wengineo wengi je picha zao zipo ikulu kama issue ni kuajiri watu?
 
"natafuta, post: 16291217, member: 325782"]mzee mengi kaajiri watu wangapi
bhakresa je
mohamed dewji
rostam aziz
na wengineo wengi je picha zao zipo ikulu kama issue ni kuajiri watu?[/QUOTE]
Wanakwepa kodi hao
 
Back
Top Bottom