Pre GE2025 Hii ndio Quur-Juwaan; kila aliyeshiriki kwenye jambo husika hata kwa pongezi adhabu inamsomba

Pre GE2025 Hii ndio Quur-Juwaan; kila aliyeshiriki kwenye jambo husika hata kwa pongezi adhabu inamsomba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,033
Reaction score
895
QUUR-JUWAAN . Nikimnukuu Magoma, Mwanachama wa Yanga aliyekwenda mahakamani kuishtaki Bodi ya wadhamini wa Dar Young African, aliulizwa haogopi Ju-Ju- Man akajibu hapo ndio wasijaribu, kwasababu atasoma Dua inayoitwa QUUR-JUWAAN ambayo itamkuta aliyetenda, aliyehadithia, aliyechangia hoja, aliyesikiliza, aliyecheka na imeenda kwa waliotoa pongezi kwa kutenguliwa Mh Nape Mosses Nnauye.

Pia soma:
Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

1>> Bi Moroco
2>> Mhandisi Utangazaji
3>> Bgd Jen Mabango
4>> Prof Nkoma
5>> Bw Chande
6>> Mashiba
 
QUUR-JUWAAN . Nikimnukuu Magoma, Mwanachama wa Yanga aliyekwenda mahakamani kuishtaki Bodi ya wadhamini wa Dar Young African, aliulizwa haogopi Ju-Ju- Man akajibu hapo ndio wasijaribu, kwasababu atasoma Dua inayoitwa QUUR-JUWAAN ambayo itamkuta aliyetenda, aliyehadithia, aliyechangia hoja, aliyesikiliza, aliyecheka na imeenda kwa waliotoa pongezi kwa kutenguliwa Mh Nape Mosses Nnauye.

Pia soma: Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

1>> Bi Moroco
2>> Mhandisi Utangazaji
3>> Bgd Jen Mabango
4>> Prof Nkoma
5>> Bw Chande
6>> Mashiba
Hii nimekubali huyo aliyewakalia kitako akaipiga hii anabalaa na nusu..
 
Hata hii inayosemwa kuhusu Nyamitako kuwa yuko hoi huko bondeni ni quul juwaan ya wazee wa Kinyaturu
 
Back
Top Bottom