Dkt Guston
Senior Member
- Feb 28, 2022
- 105
- 119
Habari wana jamii forums
Kuna baadhi ya watu wanaifanya fx industry kuonekana kama ni kitu scam,kumbe ni wajinga baadhi ambao ni walala hoi wanaifanya hii game ionekane ni wizi,wanajifanya ni mamentor wakati ni wachoma account wazuri,wauza signal za bukubuku,wana ibia watu hela wakijifanya ma agent kumbe hamna lolote
Kuna baadhi ya watu wanajifanya ni wafanya account management za watu wakati zao zimewashinda wamechoma,wanachukua nusu ya wateja wao wanawambia wa buy nusu wanaambiwa sell watakao win wanapostiwa,kwamba good signal waliochoma wana wa block[emoji15]
Waliowin watavuta watu wengine tena,wanapigwa na walipigwa wanatafuta wa kuwapiga, mwisho watu wanaona ni kitu cha wizi
Kama wewe unatengeneza $10000 kwa siku za nini uombe $20 za watu,kwa nini uuze signal za bukubuku nakujifanya kwamba unatoa kwa jamii[emoji23][emoji23][emoji23] mbona John leyks yeye alikusanya watu 100 ambao hawajui forex akawafundisha Bure na akafund account zao huyo ndo alitoa kwa jamii sio nyie wauza signal $75 sijui $100 hafu mnawambia watu ni lifetime baada ya mwazi mnawambia bando lime expire hivi lifetime inakuaje expired[emoji23][emoji23]
Guys acheni kuibiwa kijinga kama mtu amekwambia BTMM & ICT anakufundisha kwa $50 kwa nini usichukue $5 ukanunua MB GB64 ukajifunza serious youtube mbona kuna course nyingi tu huyo anayekuomba $75 na yeye anaangalia YouTube hafu anakuelekeza wewe anajifanya mentor waulize hao traders wenye mwaka hata mmoja kwenye game wale mentors wao bado wana wasiliana nao,yule muuza signal wake bado ananunua,na yule mfanya account management wake bado anamfanyia management[emoji23]
Hii kitu imejaaa matapeli wengi sana wazee wa showoff wakijifanya wamefanikiwa kumbe ni walalia mihogo na maji ya kandolo
Guys achaneni na hao matapeli ,tumia mda wako kujifunza youtube,udemy,discoard utajifunza vitu vingi kuliko hao wezi wanaojifanya wanatoa kwa jamii kumbe hamna lolote,
Msije Sema najifanyia promotion Mimi siuzi signal,sifanya account management, sifanyi mentorship yoyote,nilijifunza fx mwenyewe youtube,TL,discoard nimesoma PDF za kujilisha ubongo vizuri sijawahi kulipia class yoyote kwa hio hata wewe unaweza kuifanya youtube kua mwalimu wako,mtoa signal wako,mfanya account management wako
""ALL WE GONNA MAKE IT""
Kuna baadhi ya watu wanaifanya fx industry kuonekana kama ni kitu scam,kumbe ni wajinga baadhi ambao ni walala hoi wanaifanya hii game ionekane ni wizi,wanajifanya ni mamentor wakati ni wachoma account wazuri,wauza signal za bukubuku,wana ibia watu hela wakijifanya ma agent kumbe hamna lolote
Kuna baadhi ya watu wanajifanya ni wafanya account management za watu wakati zao zimewashinda wamechoma,wanachukua nusu ya wateja wao wanawambia wa buy nusu wanaambiwa sell watakao win wanapostiwa,kwamba good signal waliochoma wana wa block[emoji15]
Waliowin watavuta watu wengine tena,wanapigwa na walipigwa wanatafuta wa kuwapiga, mwisho watu wanaona ni kitu cha wizi
Kama wewe unatengeneza $10000 kwa siku za nini uombe $20 za watu,kwa nini uuze signal za bukubuku nakujifanya kwamba unatoa kwa jamii[emoji23][emoji23][emoji23] mbona John leyks yeye alikusanya watu 100 ambao hawajui forex akawafundisha Bure na akafund account zao huyo ndo alitoa kwa jamii sio nyie wauza signal $75 sijui $100 hafu mnawambia watu ni lifetime baada ya mwazi mnawambia bando lime expire hivi lifetime inakuaje expired[emoji23][emoji23]
Guys acheni kuibiwa kijinga kama mtu amekwambia BTMM & ICT anakufundisha kwa $50 kwa nini usichukue $5 ukanunua MB GB64 ukajifunza serious youtube mbona kuna course nyingi tu huyo anayekuomba $75 na yeye anaangalia YouTube hafu anakuelekeza wewe anajifanya mentor waulize hao traders wenye mwaka hata mmoja kwenye game wale mentors wao bado wana wasiliana nao,yule muuza signal wake bado ananunua,na yule mfanya account management wake bado anamfanyia management[emoji23]
Hii kitu imejaaa matapeli wengi sana wazee wa showoff wakijifanya wamefanikiwa kumbe ni walalia mihogo na maji ya kandolo
Guys achaneni na hao matapeli ,tumia mda wako kujifunza youtube,udemy,discoard utajifunza vitu vingi kuliko hao wezi wanaojifanya wanatoa kwa jamii kumbe hamna lolote,
Msije Sema najifanyia promotion Mimi siuzi signal,sifanya account management, sifanyi mentorship yoyote,nilijifunza fx mwenyewe youtube,TL,discoard nimesoma PDF za kujilisha ubongo vizuri sijawahi kulipia class yoyote kwa hio hata wewe unaweza kuifanya youtube kua mwalimu wako,mtoa signal wako,mfanya account management wako
""ALL WE GONNA MAKE IT""