Sio kwamba sina mkanda mzuri ambao utanifanya nionekane bomba
Sio kwamba sina suruali nzuri zinazofaa kuchomekea la hasha.
Sio kwamba sina mashati nadhifu ambayo nikichomekea utasema naam Mapipando kapendeza.
Jamani sio kwamba mwili wangu hauruhusu kuchomekea, umbo langu limekaa vyema mno.
Shida yangu ni kwamba, nikimwona mwanamke mwenye umbo matata, tako tako, hips kama zote, maziwa size medium, tabasamu mwanana, mwendo kama hataki, mapaja yaliyonona walahi lazima nidinde.
Na ukizingatia jiji la bashite limejaa wadada warembo ndio kabisaa nimechemka kuchomekea.View attachment 938855
Kajamaa hakana uhakika wa demu ni maana anamawazo ya hivyoItakua mpiga nyeto wewe
Kuepuka na kudindisha pasipo na ulazima tafuta mwanamke gonga kila siku, hutapata tena
Hili jambo haijalishi una demu, mademu, mke au wake,bali ni urijali uliotukuka.
Sio kila kitu kinaigizwa mkuu, mfano unaanzaje sasa kuigiza kudinda kama sio kudinda kweli?au unaweka kijiti?
Nimeacha kitambo sana, inapata mwaka sasa na najitahidi kweli nisipige tena.