mimi huwa inanitokea ofcn kila siku.. *****, yaani nikiitwa tu, ni ishu kusimama..!Sio kwamba sina mkanda mzuri ambao utanifanya nionekane bomba
Sio kwamba sina suruali nzuri zinazofaa kuchomekea la hasha.
Sio kwamba sina mashati nadhifu ambayo nikichomekea utasema naam Mapipando kapendeza.
Jamani sio kwamba mwili wangu hauruhusu kuchomekea, umbo langu limekaa vyema mno.
Shida yangu ni kwamba, nikimwona mwanamke mwenye umbo matata, tako tako, hips kama zote, maziwa size medium, tabasamu mwanana, mwendo kama hataki, mapaja yaliyonona walahi lazima nidinde.
Na ukizingatia jiji la bashite limejaa wadada warembo ndio kabisaa nimechemka kuchomekea.View attachment 938855
Hongera sana mkuu, kuna wanawake wengine za jamaa zao hazidindi mpaka zipepewe sasa huyo bibie yawezekana alikihusudu chuma mpaka akajitoa mhanga.mimi huwa inanitokea ofcn kila siku.. *****, yaani nikiitwa tu, ni ishu kusimama..!
Kuna siku tulikuwa na workshop, alafu nilikuwa napresent.. Dushe liliamsha nipo pale front ... ilikuwa aibu.. halafu washiriki walikuwa wadadu robo tatu ya participants.. But huwezi amini, kuna mshiriki alinielewa vilivyo, baada ya presentation , nikapata kimemo nitamkuta restaurant baada ya evening session . AKAENDA KUNITUNUKU, infact siku zote tatu za workshop nilikuwa narina asali tu...!
Oa ,utaona vya kawaida tu ,Not true mkuu, hata kama nimetoka kupiga show mda huo huo halafu nikakiona chuma kingine lazima mnara usome 4G