brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Habari zilizopatikana nchini kenya zinasema director wa video ya nagharamia iliyoshooting South Africa na mkenya Enok Olic ameamua kubaki na video hiyo kwasababu Christian Bella na Ali Kiba hawajamalizia pesa ya malipo kwa director huyo, deni hilo ndio kikwazo kikubwa kwa mastaa hao wa masauti nchini.