Miaka yote Yanga huwa anashinda dhidi ya Ruvu, vipi mwaka huu?Miaka yote kuelekea uchaguzi ,Yanga huwa juu
Kumbuka pia sio Mara kwanza yanga kupoteza mechi ya mwanzo wa ligiMiaka yote Yanga huwa anashinda dhidi ya Ruvu, vipi mwaka huu?
Ishu sio kupoteza, ni umepoteza na nani? Ruvu hakuwa na historia mbele ya Yanga.Kumbuka pia sio Mara kwanza yanga kupoteza mechi ya mwanzo wa ligi
Simba kubeba ubingwa wanaweza lakini tatizo lipo kwa Ibrahim Ajib yule chalii anadamu ya kunguniHabari wadau wa soka..!!
Ukiwa msimu mpya ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Primier League (VPL)Umeanza baada ya Msimu uliopita kumalizika na Bingwa kuwa Simba Sc.
.. Ikumbukwe msimu uliopita hakukuwa na mdhamini mkuu wa LIGI hivyo kufanya Msimu uliopita kuwa wa mateso kwa Timu nyingi.
.. Msimu huu Vodacom ndie MDHAMINI WA LIGI KUU, wametoa Tsh BILLION 9 kwa miaka mitatu (3).. Hivyo ni mwanya kwa timu kufanya vzr Zaidi uwanjani.
HII NI TOP 10 YANGU KWA HUU MSIMU MPYA.
1. Simba Sc
2. Azam Fc
3. Yanga
4. Lipuli Fc
5. Mtibwa Sugar
6. K.M.C
7. Tz Prisons
8. JKT Tanzania
9. Mbeya City
10. Polisi Tanzania
NB:Maoni Yangu
umepatia mkuuHabari wadau wa soka..!!
Ukiwa msimu mpya ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Primier League (VPL)Umeanza baada ya Msimu uliopita kumalizika na Bingwa kuwa Simba Sc.
.. Ikumbukwe msimu uliopita hakukuwa na mdhamini mkuu wa LIGI hivyo kufanya Msimu uliopita kuwa wa mateso kwa Timu nyingi.
.. Msimu huu Vodacom ndie MDHAMINI WA LIGI KUU, wametoa Tsh BILLION 9 kwa miaka mitatu (3).. Hivyo ni mwanya kwa timu kufanya vzr Zaidi uwanjani.
HII NI TOP 10 YANGU KWA HUU MSIMU MPYA.
1. Simba Sc
2. Azam Fc
3. Yanga
4. Lipuli Fc
5. Mtibwa Sugar
6. K.M.C
7. Tz Prisons
8. JKT Tanzania
9. Mbeya City
10. Polisi Tanzania
NB:Maoni Yangu
Alliance school bingwaHabari wadau wa soka..!!
Ukiwa msimu mpya ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Primier League (VPL)Umeanza baada ya Msimu uliopita kumalizika na Bingwa kuwa Simba Sc.
.. Ikumbukwe msimu uliopita hakukuwa na mdhamini mkuu wa LIGI hivyo kufanya Msimu uliopita kuwa wa mateso kwa Timu nyingi.
.. Msimu huu Vodacom ndie MDHAMINI WA LIGI KUU, wametoa Tsh BILLION 9 kwa miaka mitatu (3).. Hivyo ni mwanya kwa timu kufanya vzr Zaidi uwanjani.
HII NI TOP 10 YANGU KWA HUU MSIMU MPYA.
1. Simba Sc
2. Azam Fc
3. Yanga
4. Lipuli Fc
5. Mtibwa Sugar
6. K.M.C
7. Tz Prisons
8. JKT Tanzania
9. Mbeya City
10. Polisi Tanzania
NB:Maoni Yangu