Hii ndio Zawadi/gari aliyopewa Mshindi wa Miss Tanzania 2018

Hii ni aibu nyingine kwa Basata ,wizara na wadhamini wote wa hili shindano bila kumsahau mwenye shindano hili kwa sasa bi Basila mwanukuzi aiseeee hivi gari kama hilo ndio anapata mshindi kweli pamoja na wadhamini wote wale? Nafikiri hili shindano lina laana kabisa .....watu walitegemea makubwa sana kwenye hili shindano lakini ni aibu tupu kabisa kabisa.

Kuna kila sababu la kulifutilia mbali kabisa hili shindano....
 
Hahaha mkuu, yule alikua na chance nyingi za ku make pesa but hakili hana
Saivi angekua mbali mno na angelutilia angekuwa dc,rc au mbunge
Mkuu tatizo ile kanda aliyozaliwa (Singidani) si unajua ma du wa kule walivyo papuchi kwao ndio kama utajiri wao ,
Na ndio Akili zao zimekomea pale utatoa hutoi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…