Hii ndio Zawadi/gari aliyopewa Mshindi wa Miss Tanzania 2018


- duh! hahahahahhahahaaha saafi sana

le Mutuz Superbrabrand
 
Nani anamsoma Mzushi huyu, anawachukia wanawake kwa sababu ana kibamia, dawa ni kumnunulia dild. Ili atumie na kidole gumba, ukiona mwanaume msengezaji ujue chini ni kichungi

- Umejuaje yote haya na wewe ni mtoto wa kiume au uliwahi kumpa?


le Mutuz Superbrand
 
Nimesoma mahala gari eti ni la millioni 15 tshs.

Mwisho wa siku watajiju

Mwaka 2011 ndio ulikiwa mwisho wa matanuzi Vodacom walimalizia na kujitoa.
 
Mbona sijakuona kikaoni Ursino Morocco? Anarudi November
Mnaongea kiswahili halafu bado siwaelewi

Kingekuwa Kingereza sijui ingekuwaje

Asalalee!
 
Happiness Magese pekeyake ndio alipata zawadi ya haki... NISSAN HARDBOARD BRAND NEW
Kuna demu alipewa Jeep kama sikosei ni yule punda wa Jux anayetafunwa na monk huko china Jacky nani sijui
 
- Umejuaje yote haya na wewe ni mtoto wa kiume au uliwahi kumpa?


le Mutuz Superbrand
Basila has done it, kamkuwadie rafiki yako akulipie harusi, don't try to undermine people kwa vitu usingepeñda ufanyiwe. Mfyuuuuu
 
Basila has done it, kamkuwadie rafiki yako akulipie harusi, don't try to undermine people kwa vitu usingepeñda ufanyiwe. Mfyuuuuu

- Ameji undermine mwenyewe kwa akili ndogo, unapiganaje na wakala wako na brand ni yako mwenyewe? Niliwahi kukukuwadia wewe ndio maana unayajua, wewe ni mjinga tu hata utumie majina ya bandia ni mjinga ndio maana Serukamba alikuacha baada ya kukutumia sana kuitukana serikali ya sasa, hahahahahaha Harusi yangu inakuhusu nini? Jembe alikua rafiki yako na wa kaka yako aliwahi kukulipia harusi yako?

- UMEYATAKA MWENYEWE USILIE SASA JIPANGE UPYA

le Mutuz Superbrand
 
AIBU SANA SANA!!!!!!!!
 
Heri hata IST halafu ataisotea kuipata not today kama yule WA last year.
 
Wakipewa baiskel inatosha, ni ktk harakati za kubana matumizi[emoji4]
 
Kwamba huyu ndo yule naniii anayetumika kunanii ?😂😂 akikujibu niite W. J. Malecela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…