life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,035
Mpendwa hizi ni ndoto za 3rd World!!
Ni ndoto kabisa kwa nchi hii, mpaka kizazi hiki kifutike kwanzaMpendwa hizi ni ndoto za 3rd World!!
Hata huku ndoto ni kunyakuwa Africa Nations Cup !!
Tujipange nasi tuwe maBingwa [emoji471]
Mmmmh!! Mkuu siyo lazima tufutike wote.. tubadilike tu !! Wenzetu wameweza nasi tutaweza!!
Mmmmh!! Mkuu siyo lazima tufutike wote.. tubadilike tu !! Wenzetu wameweza nasi tutaweza!!
Haitawezekana mpaka tutakapoacha kuifanya siasa kwenye kila jamboMmmmh!! Mkuu siyo lazima tufutike wote.. tubadilike tu !! Wenzetu wameweza nasi tutaweza!!
Kuwa mtulivu ni bure!!Kuna kitu nilitaka nikujibu ila nahis Ban itanihusu. Wacha niufyate tu
Ukipewa tumia baba.. hazina na accounting za Mungu ni nyingi!!Hii mbona Kama israfu hii jamani..😂😂😂
Hapana, kuweza si maneno na mipango makaratasi.Mmmmh!! Mkuu siyo lazima tufutike wote.. tubadilike tu !! Wenzetu wameweza nasi tutaweza!!
Be blessed .. excellent comment!!Hapana, kuweza si maneno na mipango makaratasi.
Actions speak louder than words!
We dont take actions to our words.
We are dilly dallying and shilly shallying on earth.
Perhaps this generation is cursed as it has all the options on the table. Non of them are in practice.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa heshima zote na Taadhima!!Nilishawahi kuongea hili, na ninasisitiza, uwe mwafrica, uwe mchina, uwe mu iran, uwe mrusi. Ni ndoto yao kubwa kuishi ulaya au marekani, na hapo zawadi kubwa ambayo kawapa ni hizo apartmen hapo london. Tukiacha unazi hakuna binadam ambaye hahusudu maisha ya kimagharibi. Over
➡($2.7m) QR 10 million for each player in the team [/QUOTE said:Hapa umezingua mzee baba, pesa ya Qatar na Marekani haziendi kwa uwiano huo. Ya Qatar iko juu
Qatar wana haki ya kufurahia lakini UAE ni nchi ya Kiarabu ambayo ina uwezo wa kutengeneza silaha zake yenyewe kitu ambacbo Qatar haiwezi.
UAE ni warabu wenye akili sana kuliko waarabu wote ukitoa Wamisri na wayemen.UAE inauwezo wa kurusha Satelite angani bila msaada wa nchi yeyote ile.