Kweli ukipenda huoni!Yaani Mbwiga akachukue mshahara M 1.5 kwa kuropoka story za uongo na kweli huku B dozen akiishi kwa kutapeli wasanii wanaotaka kushiriki Fiesta!!!
Kama ni hivyo basi Zamaradi Mutahaba anapata hela nyingi zaidi.
Kweli ukipenda huoni!Yaani Mbwiga akachukue mshahara M 1.5 kwa kuropoka story za uongo na kweli huku B dozen akiishi kwa kutapeli wasanii wanaotaka kushiriki Fiesta!!!
Kama ni hivyo basi Zamaradi Mutahaba anapata hela nyingi zaidi.
who are u pale clouds fm?Hr manager au?na kuna mtu kakuuliza?
msikilizaji tu
Mbwiga wa Mbwiguke ndiye anayepokia hela ndogo kuliko watangazaji wote. Unajua anakula mtonyo gani? Milioni moja na nusu babake.
Hahah eti Zamaradi Mutahaba.
We unapokea kiasi gani?
Mbwiga wa Mbwiguke ndiye anayepokia hela ndogo kuliko watangazaji wote. Unajua anakula mtonyo gani? Milioni moja na nusu babake.