Hili tatizo limeanza sikunyingi ina maana wamiliki ndio imewqahinda kutatua na wanabembeleza watu wapakue iyo app yao kila siku.Tumia browser,
Ukitumia JF APP haifungui mkuu....
Ameshiba choroko na dengu.Wakati ana njaa View attachment 2414085
Wamepata kitu chao pendwa
View attachment 2414092
Sasa wamevimbiwa mihogo
View attachment 2414093
TUWASAMEHE BURE
Bora tu ukazitumia mb zako kwa matumizi mengineyo. Maana hata kama ungefungua basi, ungekutana na upuuzi tu.Simu yangu sijui kwanini inashindwa kufungua hizo attachment
Naomba kikao cha haraka kifanyike tumuongeze Happycuit katika kundi la watu wenye akili pale Jangwani, na sasa wawe watatu.Ila huyu mbaba anatudhalilisha kweli wana yanga dah,yaani anachokiongea leo usipate tabu ya kumjibu we mpe muda tu ....huyu ni wakumfukuza
Hata MimiSimu yangu sijui kwanini inashindwa kufungua hizo attachment
Mi pia nimejaribuSimu yangu sijui kwanini inashindwa kufungua hizo attachment
Huwa anajimaliza. Anamaliza silaha zote vitani.Ila huyo mwehu anaharibu Taswira ya Yanga.. haya maneno yanaishi hayatafutika kamwe. Mumfunge spidi gavana ya mdomo.
Ukisikia sadaka ya kujimaliza sasa ndo hiiHuwa anajimaliza. Anamaliza silaha zote vitani.